tag:blogger.com,1999:blog-84379621349756121752024-03-05T11:59:21.899-08:00HARAKATI ZA MTANZANIABertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.comBlogger1008125tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-75161869574275388312016-02-02T04:28:00.001-08:002016-02-02T04:28:22.968-08:00Riba kubwa na ukosefu wa elim ya biashara inafilisi wakopaji<div dir="ltr" id="yui_3_16_0_1_1454415926764_1932" style="background-color: white; font-family: 'Helvetica Neue', 'Segoe UI', Helvetica, Arial, 'Lucida Grande', sans-serif; font-size: 13px;">
<div class="yiv4933455533MsoNormal" id="yui_3_16_0_1_1454415926764_1960" style="padding: 0px;">
<span id="yui_3_16_0_1_1454415926764_1959" style="font-size: 16pt; line-height: 24.5333px;">Arusha . Riba kubwa inayotozwa kwenye taasisi za fedha pamoja na ukosefu wa elimu ya biashara ya kuwawezesha wananchi kuwekeza fedha wanazokopa kwenye miradi ya uzalishaji mali imeelezwa kama chanzo cha kufilisi wakopaji na kufaidisha taasisi hizo.</span></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" style="padding: 0px;">
<br /></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" id="yui_3_16_0_1_1454415926764_1984" style="padding: 0px;">
<span id="yui_3_16_0_1_1454415926764_1983" style="font-size: 16pt; line-height: 24.5333px;">Akizungumza mkoani Arusha kwenye mkutano mkuu wa kitaifa wa 26 wa wanachama chama cha ushirika wa Akiba na mikopo cha Tumaini SACCOS, mwenyekiti Neema Fredrick amesema kuwa asilimia kubwa ya matajiri duniani waliofanikiwa ni kutokana na mikopo lakini kwa sasa watu wengi wamekuwa wakifilisiwa na mikopo kutokana na kukopa fedha na kuwekeza kwenye miradi isiyozalisha.</span></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" style="padding: 0px;">
<br /></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" style="padding: 0px;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 24.5333px;">“Matajiri wengi duniani wamefanikiwa kutokana na mikopo na kukopa kwa malengo ya kuzalisha, lakini kuna watu wengi pia wamelizwa na mikopo kwa kufilisiwa hata kile kidogo walichokuwa nacho kabla ya kukopa, na sababu kubwa mbali na riba kubwa inayotozwa kwenye taasisi za fedha kuwa chanzo lakini pia kukopa na kwenda kuwekeza kwenye mradi usiozalisha ni kikwazo hivyo ili kuepukana na hili tuepuke kukopa fedha bila kuwa na mradi wa uhakika siyo kukopa kwa anasa au kununua vitu vya kwenda na wakati”</span></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" style="padding: 0px;">
<br /></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" style="padding: 0px;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 24.5333px;">Neema alisema kuwa kutokana na hilo, walianzisha SACCOS hiyo ya tumaini yenye miaka 24 sasa ambayo katika chama chao wameweza kuwa na fedha kiasi cha bilioni 4.4 kutokana na wanachama 787 ambayo lengo kubwa ni kuweka na kukopeshana wanachama kwa riba ndogo lakini baada ya kugundua wengi wanashindwa kulipa mikopo yao ambayo wanadai zaidi ya milioni 150 wameamua kutoka elim ya biashara sambamba na kuendelea kufuatilia madeni yao.</span></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" style="padding: 0px;">
<br /></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" style="padding: 0px;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 24.5333px;">Akizungumza kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Arusha, msajili wa vyama vya ushirika mkoa ambae alikuwa mgeni rasmi, Nerei Kyara alisema kuwa uwepo wa vyama hivyo vya kuweka na kukopa kumesaidia kwa asilimia kubwa kupunguza malalamiko pamoja na kesi nyingi za mikopo sambamba na kusaidia wananchi kujiongezea kipato kutokana na kubuni miradi mbali mbali ya kufanya na kupunguza hata ukosefu wa ajira hasa wale wanaowekeza kwenye miradi mikubwa kama viwanda kwani haujiri pia.</span></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" style="padding: 0px;">
<br /></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" style="padding: 0px;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 24.5333px;">“Kwa Arusha pekee tuna zaidi ya vyama 400 na kila chama kina wananchi wetu ambao wengi wako kwenye ajira rasmi na wengine hawako kwenye ajira lakini kutokana na hivi vyama wanaweza kujiendeshea maisha yao bila kuwa tegemezi kutokana na kukopeshana wanachokusanya hivyo kupunguza hata mzigo kwa serikali kuwa na idadi kubwa ya watu tegemezi hivyo kwa sasa watu wazingatie elim ya biashara ili kuweza kunufaika na vyama hivi badala ya kuviua”</span></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" style="padding: 0px;">
<br /></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" style="padding: 0px;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 24.5333px;">“Zaidi ya yote niwatake muache kukopa kwa kuangalia mkumbo au wanawake kununua vitenge na wengine kununua magari kwani mwisho wa siku haitakusaidia zaidi itakufilisi hivyo jitahidini kukopa na kuwekeza kwenye miradi itakayowapa faida na kuwezesha kurejesha mkopo husika kwenye vyama hivi huku mkiachana na taasisi zinazotoza riba kubwa ili kukuza uchumi wenu binafsi na taifa kwa ujumla”</span></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" style="padding: 0px;">
<br /></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" style="padding: 0px;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 24.5333px;">Kwa upande wake mmoja wa wanachama Journey Mwampalile amesema kuwa kwenye chama chao hadi sasa wanaweza kukopa kuanzia milioni moja hadi milioni 40 kwa mwanachama mmoja kwa kurejesha kwa asilimia ndogo ambapo kwa upande wake amefanikiwa kuanzisha miradi mbali ya ufugaji wa mifugo kama kuku, na maduka ya jumla mjini ambayo familia yake inaishi vizuri kwa kusomesha watoto na kujenga nyumba nzuri na kuondokana na kupanga chumba.</span></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" style="padding: 0px;">
<br /></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" id="yui_3_16_0_1_1454415926764_1999" style="padding: 0px;">
<span id="yui_3_16_0_1_1454415926764_1998" style="font-size: 16pt; line-height: 24.5333px;">“Hata kama ukiwa na elim ya biashara lakini kukopa kwenye taasisi za fedha ni ngumu kukua kwa haraka kutokana na riba kubwa wanayotoa lakini uanzishwaji wa hivi vikundi vya SACCOS vinasaidia sana kutokana na mtu kukopa fedha aliyowekeza na baadae kukopa lakini pia mwisho wa siku kuna faida kutokana na vikundi hivyo ambayo wanachama hugawana kutokana na miradi ya chama tofauti na taasisi hizi faida ni za mmiliki wa taasisi pekee hivyo niombe watu wajiunge kwenye hivi vikundi wanufaike zaidi kwa kukuza uchumi kuliko kutegemea serikali kila kukicha kwa ajira”</span></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" id="yui_3_16_0_1_1454415926764_1997" style="padding: 0px;">
<br /></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" id="yui_3_16_0_1_1454415926764_1995" style="padding: 0px;">
<span id="yui_3_16_0_1_1454415926764_1996" style="font-size: 16pt; line-height: 24.5333px;">Kwa mujibu wa Neema amesema kuwa kutokana na wanachama wao wengi kutokana na mashirika na world Vision na vision fund baadhi yao wanakaribia kufikia kustaafu hivyo kwa sasa wanafanya mpango wa wanachama wao kupata elim ya maisha baada ya kustaafu ambapo pia watawasaidia mitaji ya kuendeleza maisha yao.</span></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" id="yui_3_16_0_1_1454415926764_1994" style="padding: 0px;">
<br /></div>
<div class="yiv4933455533MsoNormal" id="yui_3_16_0_1_1454415926764_1993" style="padding: 0px;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 24.5333px;">Mwisho…………………</span></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 24.5333px;"><br /></span></div>
</div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-50391771344068332062016-02-02T03:42:00.002-08:002016-02-02T03:42:34.949-08:00JAJI MKUU OTHUMAN CHANDE ATOA SIKU SABA KWA MAHAKIMU 508 WATOE MAELEZO KWANINI WASIFUNGULIWE MASHITAKA KWA KUFANYA KAZI CHINI YA KIWANGO<div class="separator" style="box-sizing: border-box; clear: both; color: blue; font-style: italic; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgjw_TKgIsGZ8hdbYkNBVKibX7HqnJO1NrJwYlzkOEIV2xu0Ol-49yeqsQwXX7bJ0QjoM2Bx61rb0NfmTtH_Bm6S3gyLkdhTZeNH-UHgneNg0TacMlGD8OzoxSGGnYKbEY77YBwsFojvigZ/s1600/1.JPG" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #f39c12; list-style: none; margin: 0px 1em; outline: none; padding: 0px; text-decoration: none; transition: all 0.2s ease-out;"><img border="0" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgjw_TKgIsGZ8hdbYkNBVKibX7HqnJO1NrJwYlzkOEIV2xu0Ol-49yeqsQwXX7bJ0QjoM2Bx61rb0NfmTtH_Bm6S3gyLkdhTZeNH-UHgneNg0TacMlGD8OzoxSGGnYKbEY77YBwsFojvigZ/s640/1.JPG" style="border-width: 0px; box-sizing: border-box; float: left; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 7.53125px 0px; width: 625px;" width="640" /></a></div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<b> Ja</b><span style="font-style: italic;"><b>ji </b></span>Mkuu wa Tanzania, Othuman Chande (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani), Dar es Salaam leo mchana , kuhusu utendaji wa mahakimu wa mahakama za hakimu mkazi, mahakama za wilaya na mahakama za mwanzo ambapo alitoa siku saba kwa mahakimu 508 watoe maelezo kwani ni wasifunguliwe mashitaka ya nidhamu na kuwajibishwa kwa kufanya kazi chini ya kiwango. Kushoto ni Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omari Mallungu na kulia ni Jaji Kiongozi wa Tanzania, Shaban Omari Lila. Jaji Chande alitoa kauli hiyo kwenye maonyesho ya wiki ya Sheria yanayoendelea viwanja vya Mnazi Mmoja.<span style="color: blue;"> </span></div>
<div class="separator" style="box-sizing: border-box; clear: both; color: blue; font-style: italic; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjtVl8JT2tTyQYWDXoA3JMjNMDwA5cwjgxsPMt53s-0VYN-llgWDTMPCWJ-ohgaCHTK7fgzkjELWKuW4kxcHdYTJYpnSZ3PGkiCy2V03DrYPnr_ylBslNsfTW2NDXd7ntuGuYr0xqEyXbWm/s1600/IMG_6612.JPG" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px 1em; outline: none; padding: 0px; text-decoration: none;"><img border="0" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjtVl8JT2tTyQYWDXoA3JMjNMDwA5cwjgxsPMt53s-0VYN-llgWDTMPCWJ-ohgaCHTK7fgzkjELWKuW4kxcHdYTJYpnSZ3PGkiCy2V03DrYPnr_ylBslNsfTW2NDXd7ntuGuYr0xqEyXbWm/s640/IMG_6612.JPG" style="border-width: 0px; box-sizing: border-box; float: left; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 7.53125px 0px; width: 625px;" width="640" /></a></div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<span style="color: blue; font-style: italic;"> </span> Jaji Mkuu wa Tanzania, Othuman Chande, akikaribishwa kutembea mabanda mbalimbali kwenye maonesho hayo.</div>
<div class="separator" style="box-sizing: border-box; clear: both; color: blue; font-style: italic; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVxJuDRpZLIVFVPiwGYNRlgMlrgDQdgPwIrxl3bLqktzbeK30r8fObnR5ZBTxrpz616NPu6k0faKlqhzOupg_IL8wn_SSv8EdDhEc-B59UDnvkHsVLjfjEVrtKd_3mGRrTsWwkjVb21vDe/s1600/IMG_6619.JPG" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px 1em; outline: none; padding: 0px; text-decoration: none;"><img border="0" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVxJuDRpZLIVFVPiwGYNRlgMlrgDQdgPwIrxl3bLqktzbeK30r8fObnR5ZBTxrpz616NPu6k0faKlqhzOupg_IL8wn_SSv8EdDhEc-B59UDnvkHsVLjfjEVrtKd_3mGRrTsWwkjVb21vDe/s640/IMG_6619.JPG" style="border-width: 0px; box-sizing: border-box; float: left; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 7.53125px 0px; width: 625px;" width="640" /></a></div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<span style="color: blue; font-style: italic;"> </span>Mkurugenzi Msaidizi Ukaguzi na Maadili Mahakama ya Tanzania, Warsha Ng'humbu (kushoto), akimuelekeza jambo Balbina Mrosso (kulia), kutoka Babati mkoani Manyara aliyetembelea banda la Idara ya Malalamiko kuomba msaada wa kisheria katika maonyesho hayo.</div>
<div class="separator" style="box-sizing: border-box; clear: both; color: blue; font-style: italic; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiSxyWppoa7DbKL5hlNYDurKTGuNZbVjDydc9wBb6m0TPtySd2MbhqfGr1wuAbOyxD8cbVc6piHHXXHpjMSfsVN5uq62KXJ_jVKrpQ7voQcIdKZc9HcdjZHCc_WRzSw0IFoVZ0oO9tZVEiC/s1600/IMG_6625.JPG" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px 1em; outline: none; padding: 0px; text-decoration: none;"><img border="0" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiSxyWppoa7DbKL5hlNYDurKTGuNZbVjDydc9wBb6m0TPtySd2MbhqfGr1wuAbOyxD8cbVc6piHHXXHpjMSfsVN5uq62KXJ_jVKrpQ7voQcIdKZc9HcdjZHCc_WRzSw0IFoVZ0oO9tZVEiC/s640/IMG_6625.JPG" style="border-width: 0px; box-sizing: border-box; float: left; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 7.53125px 0px; width: 625px;" width="640" /></a></div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<span style="color: blue; font-style: italic;"> Jaji </span>Mkuu wa Tanzania, Othuman Chande, akisoma moja ya daftari katika banda la Idara ya Malalamiko kwenye maonyesho hayo. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Malalamiko Mahakama ya Tanzania, Happiness Ndesamburo.</div>
<div class="separator" style="box-sizing: border-box; clear: both; color: blue; font-style: italic; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgoo0yemLUBqBn8sq3ZR1shSRP5Zq4ILP20EkPP2PsHnH4eUQlsOt4MMYkwbq8sFBqZ863WkbSVtItuuJ5uIUwp-2nld1yXDt8oTya1jX-dWn1azvLXVhB4HnVN-ZrtN7Xvt3lly1OJDDMh/s1600/IMG_6632.JPG" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px 1em; outline: none; padding: 0px; text-decoration: none;"><img border="0" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgoo0yemLUBqBn8sq3ZR1shSRP5Zq4ILP20EkPP2PsHnH4eUQlsOt4MMYkwbq8sFBqZ863WkbSVtItuuJ5uIUwp-2nld1yXDt8oTya1jX-dWn1azvLXVhB4HnVN-ZrtN7Xvt3lly1OJDDMh/s640/IMG_6632.JPG" style="border-width: 0px; box-sizing: border-box; float: left; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 7.53125px 0px; width: 625px;" width="640" /></a></div>
<span style="-webkit-text-stroke-width: 0px; background-color: white; box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; font-size: 12.96px; font-variant: normal; letter-spacing: normal; line-height: 31px; margin: 0px; orphans: auto; padding: 0px; text-align: left; text-indent: 0px; text-transform: none; white-space: normal; widows: 1; word-spacing: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;"> </span><span style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">Jaji Mkuu wa Tanzania, Othuman Chande (kulia), akielekezwa jambo katika banda la Divisheni ya Biashara katika maonesho hayo. </span></span><br />
<div style="box-sizing: border-box; color: blue; font-style: italic; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<br /></div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
JAJI Mkuu wa Tanzania Othuman Chande ametoa siku saba kwa mahakimu 508 watoe maelezo ni kwanini wasifunguliwe mashtaka ya nidhamu na kuwajibishwa, baada ya kufanya kazi chini ya kiwango.</div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<br style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;" /></div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
Jaji Chande ameyasema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika Viwanja vya Mnanzi Mmoja jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Wiki ya Sheria.</div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<br style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;" /></div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
Alisema kiwango cha kesi kwa kila Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi na Mahakama ya Wilaya ni 250, ambapo Mahakimu Wakazi 121 kwenye mahakama hizo wameamua kesi chini ya 100 mwaka jana.</div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<br style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;" /></div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
Alibainisha kuwa kiwango cha kwa kila Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ni 260, ambapo mahakimu Wakazi na Mahakimu wa Mahakama za Mwanzo 387 wameamua kesi chini ya 100 mwaka jana.</div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<br style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;" /></div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
"Ukiondoa wale ambao wameajiriwa karibuni, wanaofanya kazi kwenye mahakama za mwanzo zisizokua na mashauri mengi au waliyokwenda masomoni kati kati ya mwaka au likizo za ujauzito hawatahusika katika sakata la kujieleza.</div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<br style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;" /></div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
"Majaji Wafawidhi nimewaagiza wachambue na kuanisha mahakimu wote walioshindwa kufikia kiwango cha kesi walizopaswa kuamua kesi 250 na kesi 260 kwa mwaka jana na kuwataka watoe maelezo ndani ya siku saba kwa nini wasichukuliwe hatua," alisema Jaji Chande</div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<br style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;" /></div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
Jaji Chande alitoa muda wa kukamilika kwa mchakato huo, ambapo walizitaka idara husika ndani ya siku 21 kila kitu kiwe kimekamilika ili ijulikane ni hatua gani wanachukuliwe.</div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<br style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;" /></div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
"Mahakama haikubali hakimu ambaye anabembeleza kesi. Hakimu hatakiwi kufanya hivyo anatakiwa asikilize kesi hizo naazimalize. Haiwezekani katika mahakama moja hakimu mmoja anamaliza kesi 800 mwingine anamalizia chini ya 100 hilo halitakubalika kutokana na kasi ambayo tunayo," alisema</div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<br style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;" /></div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
Jaji Chande alisema mahakimu hao watapelekwa katika kamati zao kwa hatua ya kujieleza. Kazi kuu ya kamati hizo ni kupeleleza, kuchunguza na kushughulikia mashtaka yote ya nidhamu ya mahakimu.</div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<br style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;" /></div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
"Mahakimu wote walioshindwa kufikia malengo ya mwaka la kesi na kushindwa kutoan sababu za kuridhisha kwa nini wameamua idadi ndogo ya kesi kuliko walivyopaswa, ambapo itashughulikiwa haraka na Kamati za Maadili za Mahyakimu kwa mujibu wa sheria na taratibu za haki," alisema</div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<br style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;" /></div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
Hata hivyo, Jaji Chande alitoa pongezi kwa mahakimu ambao wamevuka kiwango, ambapo mahakimu 14 wameamua zaidi ya kesi 700 kwa mwaka jana na mahakimu wengine wamesikiliza kesi 915,789 na 778.</div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<br style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;" /></div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
Alisema mkakati wao ni kuanza kesi sifuri mwaka unapoanza, kwa sababu kuna baadhi ya mahakama za mwanzo zimekuwa zikimaliza kesi na kuanza mwaka upya.</div>
</div>
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<br style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;" /></div>
</div>
<b style="background-color: white; box-sizing: border-box; color: #666666; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; font-size: 12.96px; line-height: 31px; margin: 0px; padding: 0px;"></b><br />
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<div style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
Jaji Chande alisema Januari 1, 2015 mahakama za mwanzo zilianza na kesi 34,126 na mwaka huu Januari 1 zilianza na kesi 20,431. Kiwango cha kumaliza kesi ukilinganisha na idadi ya kesi zilizosajiliwa 2015 nni zaidi ya asilimia 100. Mahakama ya Mkuranga asilimia 141, Rufiji asilimia 121 na Bukoba Mjini asilimia 224.</div>
</div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-3078071511081967242016-02-02T03:15:00.004-08:002016-02-02T03:15:57.094-08:00WAZIRI MKUU MAJALIWA AFANYA ZIARA HOSPITALI YA RUFAA MAWENZI<h2 class="post-title entry-title" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; font-family: Arial, Verdana, sans-serif; font-size: 1.6em; line-height: 1.2em; margin: 0px auto; padding: 0px;">
<br /></h2>
<div class="post-body entry-content" id="post-body-2327766093172475507" style="box-sizing: border-box; color: #666666; font-family: Arial, Verdana, sans-serif; font-size: 0.9em; line-height: 1.6em; margin: 0px; padding: 15.0781px 0px 0px; position: relative;">
<div class="post-body entry-content" id="post-body-1563968333508586865" itemprop="description articleBody" style="background-color: white; box-sizing: border-box; color: #333333; font-family: Georgia, Utopia, 'Palatino Linotype', Palatino, serif; font-size: 15.84px; line-height: 1.4; margin: 0px; padding: 15.0781px 0px 0px; position: relative; width: 578px;">
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="box-sizing: border-box; color: #777777; height: auto; margin-left: auto; margin-right: auto; margin-top: 0px; max-width: 100%; padding: 4px; position: relative; text-align: center;"><tbody style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;">
<tr style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><td style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJdk9oVva86PX-8OV7LHmCXu-0-7PvWrQGoELft240OBiyy-VT0dYd11P_lv8f5gIRq0-m1cgyahH9eLpIOYPxZXxA3HakuJQBgH_7FqueLfCRE2uywW5lb7YrySz_CaoVBcT5V1rJ0Zak/s1600/IMG_4397+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px auto; padding: 0px; text-decoration: none;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><i style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><b style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; color: blue; margin: 0px; padding: 0px;"><img border="0" height="427" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJdk9oVva86PX-8OV7LHmCXu-0-7PvWrQGoELft240OBiyy-VT0dYd11P_lv8f5gIRq0-m1cgyahH9eLpIOYPxZXxA3HakuJQBgH_7FqueLfCRE2uywW5lb7YrySz_CaoVBcT5V1rJ0Zak/s640/IMG_4397+%25281024x683%2529.jpg" style="background: transparent; border: none; box-sizing: border-box; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 5.6875px 0px; position: relative;" width="640" /></span></b></i></span></a></td></tr>
<tr style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><td class="tr-caption" style="box-sizing: border-box; font-size: 12.672px; margin: 0px; padding: 0px;"><h2>
<span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; font-size: x-small; font-weight: normal; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="color: black;">Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga akisalimiana na Waziri mkuu Majaliwa.</span></span></span></span></span></h2>
</td></tr>
</tbody></table>
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="box-sizing: border-box; color: #777777; height: auto; margin-left: auto; margin-right: auto; margin-top: 0px; max-width: 100%; padding: 4px; position: relative; text-align: center;"><tbody style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;">
<tr style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><td style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiXnVHzIoLcgWEZNQ2w0u2D6dp7LvA4oO922wC9rdCYksw4MHSEWxd0Qd9GAlxgKqKH8IVraTQ1h4-NZxRdDKSY2zn0zsyA3gL3Z3V8_VwV6_eDCZhxjNBAHia1VWUdG5vo0iX8CJB0WYEO/s1600/IMG_4399+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px auto; padding: 0px; text-decoration: none;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><i style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><b style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; color: blue; margin: 0px; padding: 0px;"><img border="0" height="427" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiXnVHzIoLcgWEZNQ2w0u2D6dp7LvA4oO922wC9rdCYksw4MHSEWxd0Qd9GAlxgKqKH8IVraTQ1h4-NZxRdDKSY2zn0zsyA3gL3Z3V8_VwV6_eDCZhxjNBAHia1VWUdG5vo0iX8CJB0WYEO/s640/IMG_4399+%25281024x683%2529.jpg" style="background: transparent; border: none; box-sizing: border-box; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 5.6875px 0px; position: relative;" width="640" /></span></b></i></span></a></td></tr>
<tr style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><td class="tr-caption" style="box-sizing: border-box; font-size: 12.672px; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; font-size: x-small; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="color: black;">Waziri Mkuu akislimiana na Mstahiki meya wa Manispaa ya Moshi, Raymond Mboy</span><b style="color: blue; font-style: italic;">a .</b></span></span></span></span></td></tr>
</tbody></table>
<div class="separator" style="box-sizing: border-box; clear: both; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgMlkn1fVdebVIX01gRAAFkrX38WM5h1T-7iD_H5GLJqhPwVP0I5tSU2VFNBdUcqSapThgmBBPpDPjGfbHCnejBdzsZ0afKlI-F2YiFoDJDA9lxe-riDE08A2Qcn7-cHIfBt2OoBBlaZzHa/s1600/IMG_3774+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px 1em; padding: 0px; text-decoration: none;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><i style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><b style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; color: blue; font-size: x-small; margin: 0px; padding: 0px;"><img border="0" height="427" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgMlkn1fVdebVIX01gRAAFkrX38WM5h1T-7iD_H5GLJqhPwVP0I5tSU2VFNBdUcqSapThgmBBPpDPjGfbHCnejBdzsZ0afKlI-F2YiFoDJDA9lxe-riDE08A2Qcn7-cHIfBt2OoBBlaZzHa/s640/IMG_3774+%25281024x683%2529.jpg" style="border: none; box-sizing: border-box; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 5.76563px 0px; position: relative;" width="640" /></span></b></i></span></a></div>
<div class="separator" style="box-sizing: border-box; clear: both; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgxTOkyITPpQEk8WFCeunmfFub5npuLTvjFEi8aBHiM6VIQ-UUOgU5xVMZOIhn8r3OmTQPy9T3oAq_xaKJnqfsYnRoJ2xfqa_ItwNT-N5Jc1O3bQtx-PAkZcR3ARGV2iMXSeJACXXY7Z8d2/s1600/IMG_3776+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px 1em; padding: 0px; text-decoration: none;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><i style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><b style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; color: blue; font-size: x-small; margin: 0px; padding: 0px;"><img border="0" height="427" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgxTOkyITPpQEk8WFCeunmfFub5npuLTvjFEi8aBHiM6VIQ-UUOgU5xVMZOIhn8r3OmTQPy9T3oAq_xaKJnqfsYnRoJ2xfqa_ItwNT-N5Jc1O3bQtx-PAkZcR3ARGV2iMXSeJACXXY7Z8d2/s640/IMG_3776+%25281024x683%2529.jpg" style="border: none; box-sizing: border-box; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 5.76563px 0px; position: relative;" width="640" /></span></b></i></span></a></div>
<div class="separator" style="box-sizing: border-box; clear: both; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhsthZljrQBu0GormYOvS7X-lO_ph-9pw9hyphenhyphendIpr0wIcHNgUvSSS7cvpIyv_iz-o5Ski2pJAW9SaHG3BL2AficyDdL-4W8_5emMUy-oiISfVVBPm2pUGqIWVd9uLI7TywvyfmBHc76BbmrM/s1600/IMG_4401+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px 1em; padding: 0px; text-decoration: none;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><i style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><b style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; color: blue; font-size: x-small; margin: 0px; padding: 0px;"><img border="0" height="427" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhsthZljrQBu0GormYOvS7X-lO_ph-9pw9hyphenhyphendIpr0wIcHNgUvSSS7cvpIyv_iz-o5Ski2pJAW9SaHG3BL2AficyDdL-4W8_5emMUy-oiISfVVBPm2pUGqIWVd9uLI7TywvyfmBHc76BbmrM/s640/IMG_4401+%25281024x683%2529.jpg" style="border: none; box-sizing: border-box; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 5.76563px 0px; position: relative;" width="640" /></span></b></i></span></a></div>
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="box-sizing: border-box; color: #777777; height: auto; margin-left: auto; margin-right: auto; margin-top: 0px; max-width: 100%; padding: 4px; position: relative; text-align: center;"><tbody style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;">
<tr style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><td style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiUMdU97SXVdhiaxxHUM6RzPXES53_n5TAf8Gegji0l27TbTYm2oo1Um6QXayzP2P6-HpfkOL5bS-BeipGH1iBLFGXZ2dY-Ud8S-ZNNCdoG-gWJRBxt79YS1QnCw3Wy1YP8a3aRNguekFkw/s1600/IMG_4418+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px auto; padding: 0px; text-decoration: none;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><i style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><b style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; color: blue; margin: 0px; padding: 0px;"><img border="0" height="427" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiUMdU97SXVdhiaxxHUM6RzPXES53_n5TAf8Gegji0l27TbTYm2oo1Um6QXayzP2P6-HpfkOL5bS-BeipGH1iBLFGXZ2dY-Ud8S-ZNNCdoG-gWJRBxt79YS1QnCw3Wy1YP8a3aRNguekFkw/s640/IMG_4418+%25281024x683%2529.jpg" style="background: transparent; border: none; box-sizing: border-box; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 5.6875px 0px; position: relative;" width="640" /></span></b></i></span></a></td></tr>
<tr style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><td class="tr-caption" style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="color: black; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; font-size: x-small;">alipowasili</span></td></tr>
</tbody></table>
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="box-sizing: border-box; color: #777777; height: auto; margin-left: auto; margin-right: auto; margin-top: 0px; max-width: 100%; padding: 4px; position: relative; text-align: center;"><tbody style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;">
<tr style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><td style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiLVHtdfQrkEGHI92ehab-9x2piEnbLNRm7pcHqEutCE8VVgue6nXSaJsX9QaK7iyo-iMH1QK6EC4UqLR8FbR-NSJ0d-Q38TyA1GJrD5nai7FgLB3B2NEb3aP8ZpVOgW-9dLWYs3pB4Y-Hs/s1600/IMG_4473+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px auto; padding: 0px; text-decoration: none;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><i style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><b style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; color: blue; margin: 0px; padding: 0px;"><img border="0" height="427" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiLVHtdfQrkEGHI92ehab-9x2piEnbLNRm7pcHqEutCE8VVgue6nXSaJsX9QaK7iyo-iMH1QK6EC4UqLR8FbR-NSJ0d-Q38TyA1GJrD5nai7FgLB3B2NEb3aP8ZpVOgW-9dLWYs3pB4Y-Hs/s640/IMG_4473+%25281024x683%2529.jpg" style="background: transparent; border: none; box-sizing: border-box; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 5.6875px 0px; position: relative;" width="640" /></span></b></i></span></a></td></tr>
<tr style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><td class="tr-caption" style="box-sizing: border-box; font-size: 12.672px; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; font-size: x-small; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="color: black;">Waziri mkuu akitizama chumba cha kupigia pcha za mionzi (X Ray) katika hospitali ya rufaa ya Mawenzi.</span></span></span></span></span></td></tr>
</tbody></table>
<div class="separator" style="box-sizing: border-box; clear: both; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjmJ48ObKT0qwZzYJQPtlIRZL61R8mgLTkgn_4l61gFD-l5rLtvtMW8qSxmrw2EcwCUeZ-Zi9BlGiiUIR5mwFBSUqB6sRs8CN04C9UyuGv0i2BXy-g2pa3bIie2fUvcrfDvXR5mH6AxpC7F/s1600/IMG_4482+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px 1em; padding: 0px; text-decoration: none;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><i style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><b style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; color: blue; font-size: x-small; margin: 0px; padding: 0px;"><img border="0" height="427" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjmJ48ObKT0qwZzYJQPtlIRZL61R8mgLTkgn_4l61gFD-l5rLtvtMW8qSxmrw2EcwCUeZ-Zi9BlGiiUIR5mwFBSUqB6sRs8CN04C9UyuGv0i2BXy-g2pa3bIie2fUvcrfDvXR5mH6AxpC7F/s640/IMG_4482+%25281024x683%2529.jpg" style="border: none; box-sizing: border-box; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 5.76563px 0px; position: relative;" width="640" /></span></b></i></span></a></div>
<div class="separator" style="box-sizing: border-box; clear: both; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgo9Gn2Sstn03SDJWlzJ19BcczVQc6GBO_vqvLX9jgELaDDNSyFX0HOAZALqTSHVKAC1umJRKEzg9iIeqde9gvqOkqAJfQRxHyPuodM-VcxfAU3-qJIyJyQ_z7jMsqolyucLSFzx9ErKi-_/s1600/IMG_4505+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px 1em; padding: 0px; text-decoration: none;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><i style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><b style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; color: blue; font-size: x-small; margin: 0px; padding: 0px;"><img border="0" height="427" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgo9Gn2Sstn03SDJWlzJ19BcczVQc6GBO_vqvLX9jgELaDDNSyFX0HOAZALqTSHVKAC1umJRKEzg9iIeqde9gvqOkqAJfQRxHyPuodM-VcxfAU3-qJIyJyQ_z7jMsqolyucLSFzx9ErKi-_/s640/IMG_4505+%25281024x683%2529.jpg" style="border: none; box-sizing: border-box; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 5.76563px 0px; position: relative;" width="640" /></span></b></i></span></a></div>
<div class="separator" style="box-sizing: border-box; clear: both; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEikD6SYgtue0VcG9DbIMLaCDfQY5LfxhX6pG8udyGGNg5NmHrGXYDo8sdGQebVIDkNFFOOCy8s2W9bDxH1AsXtTZxJdOcODsuworF6ByYefwqDSB07jE5UyygVYccYzSI3M0IfVkf93TULC/s1600/IMG_4512+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px 1em; padding: 0px; text-decoration: none;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><i style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><b style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; color: blue; font-size: x-small; margin: 0px; padding: 0px;"><img border="0" height="427" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEikD6SYgtue0VcG9DbIMLaCDfQY5LfxhX6pG8udyGGNg5NmHrGXYDo8sdGQebVIDkNFFOOCy8s2W9bDxH1AsXtTZxJdOcODsuworF6ByYefwqDSB07jE5UyygVYccYzSI3M0IfVkf93TULC/s640/IMG_4512+%25281024x683%2529.jpg" style="border: none; box-sizing: border-box; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 5.76563px 0px; position: relative;" width="640" /></span></b></i></span></a></div>
<div class="separator" style="box-sizing: border-box; clear: both; margin: 0px; padding: 0px; text-align: center;">
<br /></div>
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="box-sizing: border-box; color: #777777; height: auto; margin-left: auto; margin-right: auto; margin-top: 0px; max-width: 100%; padding: 4px; position: relative; text-align: center;"><tbody style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;">
<tr style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><td style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh2woWew9okfOwduNpZVj8y8jpoAKrLEqsU-xKCBQQXBrKbcdnCABX09qbCWSxfJBFDgsNZcuJ2WsdU0Pezt7cbyYsa32udu4z9js07GQZ3e0R940TwBiyS6H97xNqGBYMraVxVoGt4MLmw/s1600/IMG_4520+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px auto; padding: 0px; text-decoration: none;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><i style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><b style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; color: blue; margin: 0px; padding: 0px;"><img border="0" height="427" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh2woWew9okfOwduNpZVj8y8jpoAKrLEqsU-xKCBQQXBrKbcdnCABX09qbCWSxfJBFDgsNZcuJ2WsdU0Pezt7cbyYsa32udu4z9js07GQZ3e0R940TwBiyS6H97xNqGBYMraVxVoGt4MLmw/s640/IMG_4520+%25281024x683%2529.jpg" style="background: transparent; border: none; box-sizing: border-box; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 5.6875px 0px; position: relative;" width="640" /></span></b></i></span></a></td></tr>
<tr style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><td class="tr-caption" style="box-sizing: border-box; font-size: 12.672px; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; font-size: x-small; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="color: black;">Waziri mkuu akiwa wodi ya watoto alipotembelea kujionea namna ambavyo wagonjwa wanahudumiwa.</span></span></span></span></span></td></tr>
</tbody></table>
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="box-sizing: border-box; color: #777777; height: auto; margin-left: auto; margin-right: auto; margin-top: 0px; max-width: 100%; padding: 4px; position: relative; text-align: center;"><tbody style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;">
<tr style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><td style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjj8MUm8H8AdZHIxsKzVRcYWaRbUxXg2SlmAygtC376zMTlEr_UnnrmnRmmNuuWVAT5BrjlJ04jXRxAfTRHLm9BdxnRA-8QKM15HWe8goRrZrZP1_APA4oZ-bZGe6FYPTgi6OSJ0Z-GIQe4/s1600/IMG_4515+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px auto; padding: 0px; text-decoration: none;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><i style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><b style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; color: blue; margin: 0px; padding: 0px;"><img border="0" height="427" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjj8MUm8H8AdZHIxsKzVRcYWaRbUxXg2SlmAygtC376zMTlEr_UnnrmnRmmNuuWVAT5BrjlJ04jXRxAfTRHLm9BdxnRA-8QKM15HWe8goRrZrZP1_APA4oZ-bZGe6FYPTgi6OSJ0Z-GIQe4/s640/IMG_4515+%25281024x683%2529.jpg" style="background: transparent; border: none; box-sizing: border-box; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 5.6875px 0px; position: relative;" width="640" /></span></b></i></span></a></td></tr>
<tr style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><td class="tr-caption" style="box-sizing: border-box; font-size: 12.672px; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; font-size: x-small; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="color: black;">Waziri mkuu Majaliwa akizungumza jambo na mganga mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Mtumwa Mwako.</span></span></span></span></span></td></tr>
</tbody></table>
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="box-sizing: border-box; color: #777777; height: auto; margin-left: auto; margin-right: auto; margin-top: 0px; max-width: 100%; padding: 4px; position: relative; text-align: center;"><tbody style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;">
<tr style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><td style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgmC0GoOOmqy1ptXQkvgBRgTzOB1NH4H8_uKG0qmrfDHVYc0SgBOemU3p2LPSoDQIAXBZG8AifuGYi46Rw1yt9LM27vfy_alnq1V-1tJjLTbQOklHEQfmANNLokgKGM6on6XOzQ8jlYCBfY/s1600/IMG_4553+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px auto; padding: 0px; text-decoration: none;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><i style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><b style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; color: blue; margin: 0px; padding: 0px;"><img border="0" height="427" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgmC0GoOOmqy1ptXQkvgBRgTzOB1NH4H8_uKG0qmrfDHVYc0SgBOemU3p2LPSoDQIAXBZG8AifuGYi46Rw1yt9LM27vfy_alnq1V-1tJjLTbQOklHEQfmANNLokgKGM6on6XOzQ8jlYCBfY/s640/IMG_4553+%25281024x683%2529.jpg" style="background: transparent; border: none; box-sizing: border-box; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 5.6875px 0px; position: relative;" width="640" /></span></b></i></span></a></td></tr>
<tr style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><td class="tr-caption" style="box-sizing: border-box; font-size: 12.672px; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; font-size: x-small; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="color: black;">Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro akitoa taarifa ya mkoa kwa Waziri mkuu Kassim Majaliwa.</span></span></span></span></span></td></tr>
</tbody></table>
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="box-sizing: border-box; color: #777777; height: auto; margin-left: auto; margin-right: auto; margin-top: 0px; max-width: 100%; padding: 4px; position: relative; text-align: center;"><tbody style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;">
<tr style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><td style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjELV_4XChuyCS0LdjfbQMqvqQ5-Qo6r-MKBt3Oh6wEln0f5EMDv9YmSM3RkcmgHBX9D0V97A_NdcWwWKJqtAqlb8zMebLnlX_JmoP5ybfc7D1dsn7K-vTYsUCUm6wCJnqyuEAAhjGU_vRh/s1600/IMG_4535+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="box-sizing: border-box; color: #e74c3c; list-style: none; margin: 0px auto; padding: 0px; text-decoration: none;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><i style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><b style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; color: blue; margin: 0px; padding: 0px;"><img border="0" height="427" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjELV_4XChuyCS0LdjfbQMqvqQ5-Qo6r-MKBt3Oh6wEln0f5EMDv9YmSM3RkcmgHBX9D0V97A_NdcWwWKJqtAqlb8zMebLnlX_JmoP5ybfc7D1dsn7K-vTYsUCUm6wCJnqyuEAAhjGU_vRh/s640/IMG_4535+%25281024x683%2529.jpg" style="background: transparent; border: none; box-sizing: border-box; height: auto; margin: 0px; max-width: 100%; padding: 5.6875px 0px; position: relative;" width="640" /></span></b></i></span></a></td></tr>
<tr style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><td class="tr-caption" style="box-sizing: border-box; font-size: 12.672px; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="box-sizing: border-box; font-size: x-small; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="color: black;">Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiteta jambo na Mbunge wa jimbo la Vunjo , Mhe. James Mbatia walipokutana Ikulu ndogo mjini Moshi</span></span></span></span></span></td></tr>
</tbody></table>
</div>
</div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-80613235859722185962016-02-02T03:06:00.002-08:002016-02-02T03:06:46.311-08:00EALA yaombwa kuondoa Burundi katika uanachama wa jumuiya EAC<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSWVzGveutgF5YF4dZNkqzqx3bNsB-LEWvQqtre9aBz4i2TJwFcD4LncYD-3ZONg9seIcB4maQ6KAw5Hk3HMW0SVjREJ1qGyD9qWL23ppajKf2lWWbPI4ckXcZbG7irpAqxH10Q9JxwCTC/s1600/1.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="324" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSWVzGveutgF5YF4dZNkqzqx3bNsB-LEWvQqtre9aBz4i2TJwFcD4LncYD-3ZONg9seIcB4maQ6KAw5Hk3HMW0SVjREJ1qGyD9qWL23ppajKf2lWWbPI4ckXcZbG7irpAqxH10Q9JxwCTC/s640/1.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza</td></tr>
</tbody></table>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
BUNGE la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), limeombwa kuiondoa nchi ya Burundi katika uanachama wa jumuiya hiyo na ile ya Umoja wa Afrika (AU) hadi hapo mgogoro wa kisiasa na kijamii utakapomalizika nchini humo.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Ombi hilo limewasilishwa mjini hapa jana na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Afrika, Donald Deya, alipowasilisha maombi ya mashirika sita yasiyo ya kiserikali kutoka EAC yaliyoomba kuzungumza na Bunge juu ya mgogoro wa Burundi.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Akizungumza mbele ya Kamati ya Mambo ya Ndani ya Bunge na Usuluhishi wa migogoro ya EALA inayoongozwa na Mwenyekiti Abdullah Mwinyi, Deya alisema nchini Burundi bado kuna shida ya kisiasa na kuna Serikali iliyochaguliwa, lakini si halali kisheria.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Alisema pamoja na maombi ya kuondolewa kwa nchi hiyo, bado itaendelea kushiriki kwa karibu katika meza ya mazungumzo kwa ajili ya kutafuta mwafaka utakaowezesha kupatikana kwa amani na kuondoa shida zinazowakabili kwa sasa.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
“Kitu cha msingi ambacho tunaliomba Bunge hili, litumie mbinu zote kuhakikisha Warundi wote wamefika mezani kwenye mazungumzo ya kutoa mwafaka wa shida yao. Na mbinu wanazoweza kutumia zipo nyingi,” alisema Deya na kuongeza:</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
“Sisi tunasema kwa sasa Serikali ya Burundi iwekwe ‘suspended’ (pembeni) kabisa kwenye uanachama wa Afrika Mashariki (EAC) pamoja na ule wa Umoja wa Ulaya (AU),” alisema Deya.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Akiwasilisha maombi hayo ndani ya ukumbi wa Bunge uliopo Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mjini hapa, Deya alisema kumekuwapo na ukiukaji mkubwa wa haki za kibinadamu na kijamii huku baadhi wakiogopa na kuiona nchi hiyo inaweza kuteketea na kuingia kwenye mauaji ya kimbari.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
“Kwa maoni yetu ukilinganisha mazungumzo ya utatuzi wa mgogoro wa Burundi na mazungumzo yaliyosaidia kuiondoa Kenya kwenye machafuko mabaya ya kisiasa mwaka 2008, utaona tofauti kubwa kabisa,” alisema Deya.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Akifafanua kuhusu mazungumzo yaliyoinusuru Kenya kutumbikia kwenye wimbi la mauaji zaidi, alisema aliyekuwa Mwenyekiti wa AU na Rais wa Ghana, John Kufor, aliiwezesha nchi hiyo kurejea kwenye amani tofauti na ilivyo kwa Burundi leo.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge EALA, Mwinyi alisema kwamba maombi yaliyowasilishwa na mashirika hayo sita kupitia jopo la wanasheria wa Afrika yamesikilizwa na wajumbe wa kamati hiyo.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
“Kuna mambo mengi wamependekeza, leo wajibu wetu Kamati ya Bunge ni kuyasikiliza na kutafuta ufafanuzi wa kina, ushahidi na baada ya hapo kamati itakaa kwa ajili ya kuyajadili na baadaye tutaandika ripoti na kuipeleka Bunge ili nalo lijadili na kutoa maazimio ya mapandekezo,” alisema Mwinyi na kuongeza:</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
“Sisi hapa hatuna dhamira ya kumtenga mtu wala kikundi au Serikali, dhamira yetu ni kusikiliza na kikubwa tunachokitafuta hapa ni suluhisho ili hatimaye tusitishe mauaji yanayotokea Burundi kwa pande mbalimbali.”</div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-57698609772573813862016-02-02T02:51:00.005-08:002016-02-02T02:51:47.375-08:00Pluijm : mechi ya Prison ni kama fainali<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van der Pluijm, amesema anauchukulia mchezo wao wa kesho dhidi ya Tanzania Prisons kama fainali kwani unahitaji nguvu, umakini mkubwa, kujiamini ili kutimiza mafanikio ya ushindi.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Yanga inashikilia nafasi ya kwanza katika msimamo wa ligi hiyo, huku ikiwa imepoteza mchezo mmoja katika michezo 16 ambayo imecheza hadi sasa ikifanikiwa kuwa na pointi 39.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Hata hivyo, Yanga imefanikiwa kubaki nafasi hiyo baada ya Azam iliyoko nafasi ya pili ambayo ina mchezo mmoja mkononi kwa kuwa imecheza michezo 15 kuwa nje kwa ziara ya michezo ya kirafiki na ina pointi 39. Tanzania Prisons yenye pointi 27 inahitaji pointi tatu hizi ili kufikisha pointi 30 na kujiweka vizuri katika msimamo wa ligi.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Akizungumza na MTANZANIA, Pluijm alisema wanatambua si rahisi kupata ushindi katika uwanja huo wa Sokoine, ila watajitahidi kuweza kuondoka na pointi tatu katika mchezo huo.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Kikosi cha Pluijm kinakabiliwa na majeruhi ambayo yameathiri safu yake imara ya ulinzi baada ya kuumia nahodha wa timu hiyo na beki wa kati, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Haji Mwinyi na ile kadi nyekundu aliyoipata Kelvin Yondani katika mchezo dhidi ya Coastal Union wikiendi iliyopita.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Kocha huyo raia wa Uholanzi alisema pamoja na kupata pigo kwenye safu ya ulinzi kutokana na majeruhi hao, hawezi kumchezesha beki mkongwe, Cannavaro ambaye tayari ametolewa hogo (POP), kwani bado hajapona vizuri majeraha yake ya mguu, akifanya hivyo upo uwezekano wa kuendelea kumkosa katika mechi nyingine muhimu zinazofuata.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Alisema kwa sasa Cannavaro hawezi kucheza anaendelea na programu maalumu ya mazoezi ambayo ameanzia kwenye gym na baada ya kuridhika na maendeleo ya afya yake atamruhusu kujiunga na wenzake mazoezini.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Akimzungumzia beki Yondani ambaye alionyeshwa kadi nyekundu katika mchezo uliopita, Pluijm alikiri kuwa ni pigo kubwa ndani ya kikosi chake hasa kwa kipindi hiki ambacho wanakabiliwa na mechi ngumu mbele yao.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Alisema Yondani alitakiwa kucheza kwa utulivu na umakini wa hali ya juu kuliko kufanya jambo ambalo linaweza kuigharimu timu, hakupaswa kupaniki na changamoto alizokuwa akizipata kutokana na ushindani uliokuwepo kati yao.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
“Tayari tumesahihisha makosa yetu, hivyo sifikirii kushindwa tena, pia tunatambua mzunguko huu wa pili kila mchezo kwetu ni zaidi ya fainali.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
“Tunatarajia kucheza dhidi ya Prisons ya Mbeya, tayari tumeshawasili na tumeanza kufanya mazoezi asubuhi na jioni ili kujiweka tayari na mchezo, kwa sasa hatuangalii tuna pigo gani bali tunaangalia ushindi,” alisema.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Pluijm alieleza kipigo dhidi ya Coastal Union kimewafanya kuimarika zaidi, baada ya kufahamu makosa yao na kuwa tayari kuyasahihisha.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
“Kila mchezo ni lazima tushinde na tutaufanya kama fainali ili kufikia lengo la kunyakua ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara,” alieleza Pluijm.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Hata hivyo, mchezo huo umeonekana kuwa na hisia kubwa kwa mashabiki wa Yanga, ambao wamejipanga kuhakikisha timu hiyo inaondoka na ushindi.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Akizungumzia mchezo huo, shabiki Saleh Kupaza, alisema mchezo dhidi ya Yanga na Prisons ni mgumu kwani timu zote zimekuwa zikizihitaji pointi hizo tatu katika kujiweka vizuri kwenye msimamo wa ligi.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
“Mchezo wa Jumatano (kesho) ni mgumu kwani kila timu inahitaji pointi hizi tatu muhimu, ukiangalia ratiba ya Prisons ni ngumu kwani wakimaliza kibarua na Yanga, wanatarajia kukutana tena na mahasimu wao Mbeya City siku ya Jumamosi,” alisema.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Yanga wamewasili Mbeya juzi jioni na kuweka kambi ndani ya Jeshi la Wananchi 44KJ, Mbalizi nje kidogo ya mji na wanatarajiwa kufanya mazoezi katika Uwanja wa Sokoine jana jioni, huku Prisons wakiendelea kujifua ndani ya Uwanja wa Shule ya Sekondari Sangu.</div>
<div style="background-color: white; color: #474747; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding: 0px;">
Prisons imelazimika kuutumia uwanja wa shule hiyo kwa muda baada ya kupisha ukarabati wa kiwanja chao kilichopo ndani ya Jeshi la Magereza.</div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-87250244216064623542015-09-14T02:19:00.000-07:002015-09-14T02:19:45.192-07:00Oljoro washindwa kuwatambia AFC<div>
<b><span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">mwandishi wetu -Arusha</span></b></div>
<div>
<b><span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"><br /></span></b></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">TIMU ya Maafande
wa JKT Oljoro ya jijini Arusha inayoshiriki ligi daraja la kwanza imeshindwa
kuonyesha makali yake mbele ya wadogo zao<span>
</span>timu ya AFC Arusha inayoshiriki ligi daraja la pili baada ya kutoka suluhu
ya bao 1-1 katika ufunguzi wa michuano ya Nyerere Cup 2015.</span></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Mchezo huo
uliofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid, uliwashuhudia maafande hao wa
Oljoro wakianza kucheka na nyavu za AFC baada ya kujipatitia bao lake kupitia
kwa mchezaji Swalehe Idd alilofunga kwa njia ya Penalti mnamo dakika ya 58,
iliyosababishwa na mabeki wa timu pinzani kunawa mpira katika eneo la hatari.</span></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Vijana wa
AFC walionyesha juhudi zao kwa kulishambulia lango la Oljoro ambapo
walifanikiwa kusawazisha bao mnamo dakika ya 88 kupitia kwa mshambuliaji wao
Wandima Malechela baada ya kuachia<span> </span>shuti
kali lililokwenda moja kwa moja vyavuni.<br /></span></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Ufunguzi huo ni
utangulizi tu wa Mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 13
yaliyoandaliwa na kampuni ya BIMO Media yenye kauli mbiu "Uchaguzi wa
Amani<span> </span>2015, ndio taifa moja kwa maendeleo
ya utalii nchini" na yatafikia kilele siku ya kilele
tarehe 19 mwezi huu katika viwanja vya Makumbusho Arusha.</span></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Akifungua
mashindano hayo kwa niaba ya mkurugenzi wa jiji la Arusha Idd Juma,
Afisa Elimu jiji la Arusha kwa shule za sekondari Josephat Ntabindi
alieleza kuwa mashindano hayo ni humimu hasa kwa watoto hao wenye vipaji
kuonyesha uwezo wo huku wakikuza uelewa kwa vijana wadogo na kumuenzi
hayati baba
wa taifa Mwl Julias Nyerere ambaye pia alikuwa mstari wa mbele katika
kuhamasisha
michezo hadi kugharamia kambi za timu ya Taifa kitendo ambacho kwa sasa
hakipo.</span></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Naye
mkurugenzi wa kampuni ya mawasiliano ya Bimo Media Bertha Ismail alisema<span> </span>maadhimisho hayo yataambatana na mashindano
ya kila mwaka<span> </span>ya ki- elimu<span> </span>ya uandishi wa insha,makala pamoja na
uchoraji<span> </span>picha juu ya masuala ya utalii <span> </span>kwa wanafunzi wa shule za msingi 25
zilizopo<span> </span>Arusha.</span></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">“ Lengo
ni<span> </span>kuhamasisha uchaguzi wa mwaka
huu<span> </span>kufanyika kwa amani vile vile
kuhamasiha watu<span> </span>kuhudhuria hifadhi za
utalii zilizoasisiwa na Mwl Nyerere na tunategemea Zaidi ya wanafunzi 700
watashiriki<span> </span>katika shindano hilo la
isha.”ismail alifafanua.</span></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Timu za
nyota academy,Future Stars,Kijenge Youth,Rolling Stone,Young Life na palloti
zitachuana na washindi watakabidiwa zawadi mbalimbali ikiwemo vikombe na fedha.</span></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"></span></div>
<div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Mwisho...................</span>Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-50065918800769883882015-09-09T01:13:00.001-07:002015-09-09T01:13:22.853-07:00Oljoro na Arusha fc kuchuana katika kumuenzi Hayati Mwl, Nyerere.<div dir="ltr">
<div dir="ltr">
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Arusha . Timu ya
maafande wa Jkt Oljoro inayoshiriki ligi daraja la kwanza Tanzania bara
inatarajia kuchuana vikali na ndugu zao timu ya Arusha FC katika ufunguzi wa
ligi maalum ya Nyerere cup inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi septemba 10 jiji
Arusha.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Tiyari timu
ya Arusha fc na Jkt Oljoro zimethibitisha kushiriki michuano hiyo huku kila
mmoja akijitamba kuonyesha ubabe dhidi ya mwenzake na pia wakitumia mechi hiyo
kutambulisha wachezaji wao kwa wapenzi wa Soka wa jiji Arusha.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mechi hiyo
ya ufunguzi kati ya Oljoro na AFC itakayochezwa jioni <span> </span>katika uwanja wa Sheik Amri Abeid, ni kwa
ajili ya kufungua michuano ya Nyerere cup <span> </span>itakayoshirikisha Jumla ya timu Sita za vijana
chini ya umri wa miaka 13, lengo kubwa ikiwa ni kumuenzi muasisi wa Taifa hili
Hayati Mwl, Julius K. Nyerere.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Akizitaja
timu shiriki katika ligi hiyo, mratibu wa maadhimisho hayo Bertha Ismail
alisema kuwa ni pamoja na Nyota Accademy, Future Star, Kijenge Youth zingine ni
Rolling stone, Young Life na Pallot.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">“Maadhimisho
haya huwa yanafanyika Octoba 14 kila mwaka lakini kwa mwaka huu tunafanya mwezi
Septemba ili maadhimisho haya yasiathiriwe na zoezi la Uchaguzi ambapo pamoja
na kumuezi Muasisi wa Taifa letu lakini ligi hii pia inalenga kuhasisha
wananchi wafanye uchaguzi kwa amani bila vurugu ili sekta ya utalii hapa nchini
izidi kukua”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">“Katika
maadhimisho haya yatakayofunguliwa na mkurugezi wa jiji la Arusha Iddi Juma
yana “kauli mbiu ni Uchaguzi wa amani 2015: Taifa Moja kwa Maendeleo ya utalii”
ambapo wadau mbali mbali wa maendeleo ya nchi yetu na utalii kwa ujumla
watahudhuria ufunguzi na kilele ambayo ni septemba 19 na atakaefunga ni mkurugenzi
wa hifadhi ya Taifa (TANAPA) <span> </span>Allan
Kijazi”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Bertha Alisema kuwa michuano hiyo ni utangulizi tu wa mashindano ya uandishi na uchoraji wa insha kwa wanafunzi 700 kutoka shule shule 25 za jiji la Arusha zitakazofanyika septemba 19 katika viwanja vya makumbusho jijini Arusha mashindano yaliyodhaminiwa na TANAPA, PALACE HOTEL, AICC, Bonite botllets, jiji la Arusha na TBL. </span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mwisho…………..</span></div>
</div>
</div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-11860148231506169402015-07-28T07:38:00.003-07:002015-07-28T07:45:13.796-07:00Mtanzania Singh bingwa wa michuano ya Utrack nane nane Rally, 2015<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhglgA_J1CmbfEhcQ1HUqcmQ067IeP_Qkg0NNI8Uo3AKFCcCwJoCBB0oDPPtF4PICMEbqRm1GM1abIpKZsTSrZz1a32Fc6jXxY57e4Z7-MT8DXrECjPgNfqKZubzXqmV3aNWv_gY0ehNk6b/s1600/rally+line.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhglgA_J1CmbfEhcQ1HUqcmQ067IeP_Qkg0NNI8Uo3AKFCcCwJoCBB0oDPPtF4PICMEbqRm1GM1abIpKZsTSrZz1a32Fc6jXxY57e4Z7-MT8DXrECjPgNfqKZubzXqmV3aNWv_gY0ehNk6b/s640/rally+line.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">magari tiyari kwa kuondoka check point mmoja mmoja</td></tr>
</tbody></table>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><img alt="Displaying rally miller.jpg" class="aLF-aPX-J1-J3 aLF-aPX-aLK-ayr-auR" height="640" src="https://mail.google.com/mail/u/0/?ui=2&ik=31afe1f296&view=fimg&th=14ed4e703bb1ceb2&attid=0.3&disp=inline&realattid=f_iclwgfhz2&safe=1&attbid=ANGjdJ9NE1IlwJOj8FjHCKAaBn5fLumIyblJWdhkffSvHInazldw4fcgqKCVbiT0iSmpkwm6wxCtzTup-CROgncrfE_oTiDOiV2L_wqhfTMrsbzQ-6HW8om-W7_LDpM&ats=1438091095231&rm=14ed4e703bb1ceb2&zw&sz=w1332-h441" style="margin-left: auto; margin-right: auto;" width="640" /></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><b><span style="font-size: small;">gari la dereva maarufu kwa mbio za magari kutokana na kushinda kwake Gerald Miller akikata nyika katika michuano ya Utrack nane nane Rally yaliyofanyika Arusha.</span></b><br />
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Bertha Ismail - Arusha </span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">“Nimefurahi
sana kuona jinsi kiwango changu kinapanda
na naamini hii ni mwanzo wa kutimiza ndoto zangu za kuwa mtaalamu wa mchezo wa
gofu niweze kushindana kwa kulipwa na kuwa mchezaji maarufu wa mchezo huu na
kuiwakilisha nchi yangu vema”.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Ni maneno ya
kijana mdogo aliyeko kundi la Junior Mohamed Ally alipokuwa akizungumza na
waandishi wa habari baada ya kuibuka mshindi wa jumla katika michuano ya Arusha
Open yaliyoshirikisha wachezaji 82 wa gofu kutoka mikoa mbali mbali nchini
pamoja na nchi za Dubai na Kenya.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">“Mimi ndoto
zangu ni kuwa profesheno wa gofu nchini ili niweze kuwa mchezaji wa kulipwa na
kuchuana katika mashindano mbalimbali ya kitaifa na kimataifa na kuitangaza
nchi yangu hivyo watu wasishangae uwezo wangu wakalinganisha na umri wangu wa
chini ya miaka 18 bali waangalie kipaji change na ndoto zangu ambazo siri hii
ni mazoezi ya mara kwa mara kama sala kwangu”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Ally wa
Arusha ametwaa ushindi wa jumla baada ya kupata nyavu 131, (131 nett) katika kumbi 36 (36 halls) kwa siku
mbili, huku kwa daraja la kwanza Richard Gomes (Arusha) akitwaa ushindi kwa
kupata nyavu 152 nett akifuatiwa na Victor Joseph wa Dar –es-salaam kwa kupata pia nyavu 152.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Kwa upande
wa daraja la pili Prabvir Singh alitwaa ushindi kwa nyavu 146 akifuatiwa na
Muzzafer Yusufally kwa nyavu 156 wote wa
Arusha na daraja la tatu Hiten Nathwan ambae ni mwenyekiti wa Arusha Gymkana
Club kwa nyavu 150 akifuatiwa na Mona Singh kwa vyavy 151.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgGmatzssxEFLOMW94ksequeEQmfIX2jAwkQMN1m8OSKAPr2obz2F7xjVVZBqfQQ-qiWP4iX0vcFW6oZjcaV26UBCax2IEAoTjH9_DlLIqO_zedM7Q9T_QVqpIsrhiIjGxvqxbK5PXCLA8n/s1600/rally+......jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgGmatzssxEFLOMW94ksequeEQmfIX2jAwkQMN1m8OSKAPr2obz2F7xjVVZBqfQQ-qiWP4iX0vcFW6oZjcaV26UBCax2IEAoTjH9_DlLIqO_zedM7Q9T_QVqpIsrhiIjGxvqxbK5PXCLA8n/s640/rally+......jpg" width="640" /></a></div>
<br />
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Akizungumzia
mashindano hayo mwenyekiti wa mashindano kutoka chama cha Gofu Taifa alisema
mashindano hayo ya Taifa yaliyoko kwenye kalenda ya TGU yana lengo la kutambua
wachezaji wazuri wa machezo huo, kukuza vipaji vya vijana wadogo sambamba na
kuvinoa vilivyopo.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">“Kwanza
niseme tu nimefurahishwa na uwezo mkubwa aliyoonyesha kijana mdogo Ally
ukilinganisha na umri wake hali ambayo inatia moyo kuwa kwa sasa vilabu vina wachezaji
wazuri watakaounda timu ya nchi yetu na kuna baadhi ya wachezaji wengine
tumewaona na tutawaangalia tena kwenye michuano ya Taifa yatakayofanyika Moro
goro”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">“Lengo la
mashindano hayo ya Morogoro ni kutafuta wachezaji wazuri watakaounda timu ya
Taifa itakayokaa kambini kwa kujinoa kushiriki michuano ya nchi za Afrika mashariki na kati yatakayofanyika
Octoba nchini Kenya”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Mashindano
hayo ya Arusha Open yaliyodhaminiwa na I&M bank yajulikanayo kama “I&M
Golf Arusha Open” yameshirikisha wachezaji 82 kutoka vilabu vya Arusha, Dar,
Moshi, TPC, Lugalo, Nairobi na Dubai.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br />
<br />
<img alt="Displaying IMG-20150725-WA0030.jpg" class="aLF-aPX-J1-J3 aLF-aPX-aLK-ayr-auR" height="640" src="https://mail.google.com/mail/u/0/?ui=2&ik=31afe1f296&view=fimg&th=14ec60075f621ef5&attid=0.1&disp=inline&safe=1&attbid=ANGjdJ9cLY0_uFovK1CGHwi3y9hi2Q6uuNXluim_Wan00l1QBmh1yFeMBiXXZaKdoAejdk3tYD_yQLTsROs6XYVshgB_YH5cYLPPymxU3gxFHp9DPgAYfCH3cQgPZEM&ats=1438091095333&rm=14ec60075f621ef5&zw&sz=w1332-h441" width="640" /><img alt="Displaying IMG-20150725-WA0021.jpg" class="aLF-aPX-J1-J3 aLF-aPX-aLK-ayr-auR" height="640" src="https://mail.google.com/mail/u/0/?ui=2&ik=31afe1f296&view=fimg&th=14ec5db22f284287&attid=0.1&disp=inline&safe=1&attbid=ANGjdJ9fGF7DUw-1nxcSzK8pN_od_f8fVP4wMxtM8F5G4VYQ9Zgh8xAcTRqwxRsoUQ5tPr4GDtASeeiXiCucrvbpEBwvD2VYmGgpVIvQHV4oapYM7e_uTiZtgAbAQOA&ats=1438091089152&rm=14ec5db22f284287&zw&sz=w1332-h441" width="640" /></div>
</td><td class="tr-caption" style="text-align: center;"></td><td class="tr-caption" style="text-align: center;"></td></tr>
</tbody></table>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-92064391071680142722015-07-28T07:32:00.001-07:002015-07-28T07:32:28.607-07:00Kijana Mohamed Ally atwaa ushindi wa "I&M Arusha open Golf competition"<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Bertha Ismail - Arusha </span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">“Nimefurahi
sana kuona<span> </span>jinsi kiwango changu kinapanda
na naamini hii ni mwanzo wa kutimiza ndoto zangu za kuwa mtaalamu wa mchezo wa
gofu niweze kushindana kwa kulipwa na kuwa mchezaji maarufu wa mchezo huu na
kuiwakilisha nchi yangu vema”.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Ni maneno ya
kijana mdogo aliyeko kundi la Junior Mohamed Ally alipokuwa akizungumza na
waandishi wa habari baada ya kuibuka mshindi wa jumla katika michuano ya Arusha
Open yaliyoshirikisha wachezaji 82 wa gofu kutoka mikoa mbali mbali nchini
pamoja na nchi za Dubai na Kenya.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">“Mimi ndoto
zangu ni kuwa profesheno wa gofu nchini ili niweze kuwa mchezaji wa kulipwa na
kuchuana katika mashindano mbalimbali ya kitaifa na kimataifa na kuitangaza
nchi yangu hivyo watu wasishangae uwezo wangu wakalinganisha na umri wangu wa
chini ya miaka 18 bali waangalie kipaji change na ndoto zangu ambazo siri hii
ni mazoezi ya mara kwa mara kama sala kwangu”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Ally wa
Arusha ametwaa ushindi wa jumla baada ya kupata nyavu 131, <span> </span>(131 nett) katika kumbi 36 (36 halls) kwa siku
mbili, huku kwa daraja la kwanza Richard Gomes (Arusha) akitwaa ushindi kwa
kupata nyavu 152 nett akifuatiwa na Victor Joseph wa<span> </span>Dar –es-salaam kwa kupata pia nyavu 152.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Kwa upande
wa daraja la pili Prabvir Singh alitwaa ushindi kwa nyavu 146 akifuatiwa na
Muzzafer Yusufally <span> </span>kwa nyavu 156 wote wa
Arusha na daraja la tatu Hiten Nathwan ambae ni mwenyekiti wa Arusha Gymkana
Club kwa nyavu 150 akifuatiwa na Mona Singh kwa vyavy 151.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Akizungumzia
mashindano hayo mwenyekiti wa mashindano kutoka chama cha Gofu Taifa alisema
mashindano hayo ya Taifa yaliyoko kwenye kalenda ya TGU yana lengo la kutambua
wachezaji wazuri wa machezo huo, kukuza vipaji vya vijana wadogo sambamba na
kuvinoa vilivyopo.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">“Kwanza
niseme tu nimefurahishwa na uwezo mkubwa aliyoonyesha kijana mdogo Ally
ukilinganisha na umri wake hali ambayo inatia moyo kuwa kwa sasa vilabu vina wachezaji
wazuri watakaounda timu ya nchi yetu na kuna baadhi ya wachezaji wengine
tumewaona na tutawaangalia tena kwenye michuano ya Taifa yatakayofanyika Moro
goro”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">“Lengo la
mashindano hayo ya Morogoro ni kutafuta wachezaji wazuri watakaounda timu ya
Taifa itakayokaa kambini kwa kujinoa kushiriki michuano ya nchi za <span> </span>Afrika mashariki na kati yatakayofanyika
Octoba nchini Kenya”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Mashindano
hayo ya Arusha Open yaliyodhaminiwa na I&M bank yajulikanayo kama “I&M
Golf Arusha Open” yameshirikisha wachezaji 82 kutoka vilabu vya Arusha, Dar,
Moshi, TPC, Lugalo, Nairobi na Dubai.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Mwisho…………….</span></div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-21058925876465009242015-07-28T07:12:00.001-07:002015-07-28T07:12:09.413-07:00Nangolo : Lowassa alionewa kukatwa jina na Kamati ya CCM<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Bertha Ismail </span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /><span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;"></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Arusha . Pamoja na
kuwa chama cha mapinduzi imekamilisha zoezi la kumpata mgombea Urais wa chama
hicho mwezi Octoba mwaka huu lakini Dhambi ya <span> </span>kumkata<span>
</span>aliyekuwa <span> </span>mmoja wa wagombea Urais
Edward Ngoyai Lowassa imeendelea<span>
</span>kukitafuna chama hicho baada ya mwenyekiti mkoa wa Arusha Onesmo Ole
Nangole kuonyesha wazi kuumizwa na matokeo hayo.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;"><span> </span>Hali hiyo imejitokeza jana mkutano
maalumu wa uchaguzi wa wabunge viti maalumu kupitia Umoja wa Wanawake
Tanzania (UWT) uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa AICC mjini hapa
ambao ulihudhuriwa na wajumbe kutoka wilaya zote za mkoa wa Arusha ambazo ni
Longido, Ngorongoro, Karatu, Arumeru, Arusha mjini na Monduli.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Nangole
alisema kuwa pamoja na kamati kuu ya CCM kumpitisha Dr. Magufuli lakini uchaguzi
huo haukuwa wa haki na usawa kwani hata Lowassa alikuwa na sifa zote za
kupitishwa kwenye hatua za awali lakini alikatwa jambo ambalo limewaumiza sana
na hadi leo wana Arusha wanaumwa kutokana na haki haikutendeka pamoja na
kujitokeza kunyosha mkono kutoa hoja kwenye mkutano huo lakini walizuiliwa</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">“Naomba
niseme kwa hili CCM iliyofanya imesababisha chama chetu kuingia kwenye hali ya
chuki na kuendesha mapambano ya sisi kwa sisi badala ya mapambano hayo
kuelekeza upinzani hali ilipelekea baadhi yetu kuchukua maamuzi magumu ya
kuhama chama na kusaliti ,.. na kutokana na hili chama chetu hakitafika mbali
kama watakuwa wanawafanyia hivi watu wenye sifa, na ijulikane kuwa chama hiki
ni cha watu wote hivyo tusijione wengine wakubwa na kuwadharau wengine kwa
kutumia vyeo vyetu kuwadhalilisha”<br />
<br />
<span> </span><span> </span>“Ndugu
zangu baadhi yenu hamkuwepo kwenye huu uchaguzi hivyo niwaambie wazi kuwa
Lowasa alionewa kwani sifa za kamati ya maadili kumpitisha lakini kutokana na
chuki binafsi bila kujali ni chaguo la wananchi wengi wanamkubali wakamkata”
alisema Mwenyekiti Ole Nangolo ambae alishangiliwa mda wote kuonyesha maneno
hayo yanawagusa wajumbe.<br />
<br />
<br />
Nangole akizungumza kuhusiana na uchaguzi huo wa UWT, aliwataka<br />
wanawake kufanya maamuzi sahihi ya kuwachagua viongozi wenye uchungu na mapenzi
mema na wanawake hao ambao watakuwa tayari wakati wowote kubeba matatizo yao.<br />
<br />
Aliwataka wanawake hao kuchagua viongozi ambao watakuwa
tayari<br />
kufika katika maeneo ya wananchi kusikiliza kero zao na kuzipatia<br />
ufumbuzi na sio viongozi wanaofika kwa mwaka mara moja pindi<br />
wanapohitaji kura .<br />
<br />
‘kila mmoja anajua kuwa kazi ya mbunge ni kushughulikia kero za<br />
wananchi usiku na mchana na sio kuwafuata wananchi kwa msimu na nyie wenyewe
mnawafahamu vizuri msifanye makosa katika uchaguzi huu chagueni kiongozi kwa
manufaa yenu wenyewe ‘alisisitiza Nangole.<br />
<br />
Naye Katibu wa UWT Mkoa wa Arusha, Fatuma Hassan aliwataka wanawake hao
kuhakikisha wanawachagua viongozi wanaojali maslahi ya wananchi hususani
wanawake kwani hivi sasa ndipo wanapotakiwa kufanya maamuzi yaliyo
sahihi.<br />
<br />
Aliwataka wanawake hao kuwa makini katika kuwachagua viongozi wenye
kujali shida na changamoto za wananchi na watakaokuwa tayari kuleta maendeleo
kwa wakazi wa jiji la Arusha na wasikubali kurubuniwa na mtu yeyote bali
maamuzi wafanye wao wenyewe.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 115%;">Kwa upande
wake msimamizi wa Uchaguzi huo ambae ni mkuu wa mkoa wa Arusha Daudi Filex <span> </span>Ntibenda alisema kuwa endapo wajumbe hao
watafanya makosa ya kumchagua mtu asiyekubalika basi wasilalamike kuwa hawana
maendeleo bali wawalaumu waliompa dhamana.<br />
<br />
Mwisho.</span></div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-83716572383567863022015-07-28T06:57:00.002-07:002015-07-28T06:57:41.770-07:00Panone fc yazitamani simba na Yanga<div dir="ltr">
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 107%;">Bertha Mollel, </span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><img alt="Displaying IMG-20150706-WA0004.jpg" class="aLF-aPX-J1-J3 aLF-aPX-aLK-ayr-auR" src="https://mail.google.com/mail/u/0/?ui=2&ik=31afe1f296&view=fimg&th=14e96aef93c796b1&attid=0.1&disp=inline&safe=1&attbid=ANGjdJ8wxiz4HASRvurVpxW7m97B1zGxWjlr2DkFcLg87q3bIzUChzFFi4ru3t1z2bsxJEpmWnNIWzd6FMo1b7yvLSvYPFc5WW_WOhHARc2ERIdNGta9ptSTqVKbk_0&ats=1438091091106&rm=14e96aef93c796b1&zw&sz=w1332-h441" style="margin-left: auto; margin-right: auto;" /></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">TIMU YA PANONE FC YA KILIMANJARO</td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 107%;"> Ama kweli
timu ya Panone fc ya mkoani Kilimanjaro imepania kupanda daraja msimu ujao wa
ligi na hii ni baada ya Kocha wake mkuu Atuga Manyundo kuweka wazi ratiba ya
mazoezi yake ikiwemo wiki mbili za mwisho kucheza mechi za kirafiki na timu kubwa
za Simba, Mbeya city na Yanga.</span><span style="font-size: 16.0pt; line-height: 107%;"></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /><span style="font-size: 16.0pt; line-height: 107%;"></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 107%;">Timu hiyo iliyoingia kambini kwa kujinoa ili kujiwinda na ligi daraja la kwanza msimu ujao chini ya kocha mkuu </span><span style="font-size: 16.0pt; line-height: 107%;">Manyundo alisema kuwa mara baada ya timu kuingia kambini yapo
mapungufu mengi wameyaona ikiwemo Ubutu wa nafasi ya mlinda mlango, fowadi na
kiungo hivyo kwa sasa anashauriana na benchi zima la ufundi kuanza usajili
mapema.</span>
</div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 107%;">“Nimeona
nafasi butu ambazo nimekueleza ambazo kwa sasa tuko njiani kupiga hodi katika
sehemu mbali mbali kusaka wachezaji watakaojaza hizo nafasi na kuwa kali kweli
kweli lengo ni kutowaangusha wana Kilimanjaro katika msimu ujao lazima tupae
hadi ligi kuu”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 107%;">“Ila kikubwa
kwa sasa ni kuwapa wachezaji waliopo mazoezi ya pumzi, kasi ya mpira na ukabaji
na baada ya hapo ratiba yetu inasema tucheze mechi za kirafiki na timu kubwa
kujua mapungufu, kama unavyojua sisi ni timu ya ligi kuu ijayo hivyo lazima
tucheze na timu za ligi kuu na kama unavyojua Simba na Yanga ndio chaguo letu
la kwanza”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 107%;">“Ila kwa
sasa macho na masikio yetu ni kucheza na vilabu vya Mbeya city, vilabu vya hapa
Tanga kama Prison ili tujue wanavyocheza na sisi tujue mapengo yetu ni yapi na
kuyajaza mapema maana huu mwaka kwetu ni kazi tu hakuna kuremba” alisema Atuga”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 107%;">Kwa upande
wake katibu mkuu wa kikosi hicho Augustino Mwakatumbula alisema kuwa
kutokupanda kwa timu hiyo hawatakuwa na sababu yoyote kutokana na tiyari
mazingira mazuri ya kupanda yamewekwa ikiwemo malazi, chakula na usafiri pamoja
na posho nzuri za wachezaji .</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 107%;">“Yaani mimi
niseme tu kuwa kama wachezaji wetu wasipotufurahisha kwa mwaka huu basi kwani
hawatakuwa na sababu yoyote ya msingi ya kushindwa kushinda kutokana na
mazingira mazuri tuliyowawekea na sasa tunaangalia kocha tu usajili anaoutaka
ndio tuufanye hadi kieleweke”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16.0pt; line-height: 107%;">Mwisho…………………</span></div>
</div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-73747560079259104012015-07-28T06:55:00.001-07:002015-07-28T06:55:12.994-07:00Jiji la Arusha yajivunia BVR.<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"> <table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgUphhPjRtJUtzKc6c1GxujanmhbDagkfHa-pmDKx-cAyZMaFXxCjZro3Qpvl8Wz4JcRiAFBC7zC754de4lzj9pYaa-xzVFr785g4MdcMM4kKc7HUDs9_2iK40aJT0Pe2pZyDo9bs13wJ4k/s1600/mkurugenzi.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="544" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgUphhPjRtJUtzKc6c1GxujanmhbDagkfHa-pmDKx-cAyZMaFXxCjZro3Qpvl8Wz4JcRiAFBC7zC754de4lzj9pYaa-xzVFr785g4MdcMM4kKc7HUDs9_2iK40aJT0Pe2pZyDo9bs13wJ4k/s640/mkurugenzi.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">MKURUGENZI WA JIJI LA ARUSHA</td></tr>
</tbody></table>
</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Halmashauri
ya jiji la Arusha limefanikiwa kuitimisha zoezi la uandikishaji wa daftari la
wapiga kura kwa kuandikisha jumla ya wananchi 321,575, huku mkurugunzi wa jiji hilo
akiwataka wote waliojiandikisha kujitokeza kupiga kura.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Akizungumza
na gazeti hili wakala wa uandikishaji jiji la Arusha, Iddi Juma ambaye pia ni
Mkurugenzi wa jiji alisema kuwa awali walitarajia kuandikisha watu 265,087
lakini wamefanikiwa kuvuka lengo kwa zaidi ya asilimia 21 kwani wameandikisha
watu 321,575 ambayo ni sawa na asilimia 121.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">“Tunajivunia
kuvuka lengo letu la idadi ya walioandikishwa lakini hatuwezi kujivunia kwa
uandikishaji tu bali tutajivuania zaidi pale idadi hii waliyojiandikishwa wakijitokeza
wote kupiga kura octoba kwenye uchaguzi mkuu wa kupata viongozi mbali mbali wa
nchi”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">“Nimesema
hivyo kwa sababu vijana wengi walioonekana kupata vitambulisho hivyo
walifurahia tu kuwa itawasaidia katika mambo yao binafsi lakini siyo kupia
kura, lakini naomba niwaambie kuwa kupata kitambulisho ni jambo moja lakini
kupiga kura ni jambo la msingi zaidi hasa ikizingatiwa ni haki ya msingi kupata
kiongozi aliyepatikana kwa kura yako hivyo wajitokeze kwa wingi kupiga kura”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Mkuu huyo
amesema kuwa kumekuwa na mazoea ya wananchi kutokujitokeza katika zoezi la
upigaji kura kutokana na kuendekeza starehe pamoja na biashara na kusema kuwa
swala hil ni kosa kwa sheria ya nchi hasa kutokana na gharama kubwa serikali
inayotumia kuhakikisha zoezi hilo linafanikiwa hivyo kwa mwaka huu Arusha wasifanye
kosa hilo bali wajitokeze kuchagua kiongozi wanaemtaka kwa maendeleo ya jiji,
mkoa na nchi kwa ujumla.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Zoezi la
uandikishaji wa wapiga kura jiji la Arusha lilianza june 16 na kufikia tamati
julai 18 huku wanawake 160, 143 wakijiandikisha na wanaume 161, 432 katika
vituo 183 katika kata 25 za jiji la Arusha.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">“Katika
zoezi hili naamini hakuna mtu asiyejiandikisha hasa baada ya kuruhusu watu
wenye kazi au biashara wajiandikishe kwenye vituo vya biashara zao kutokana na
ugumu wa kutoka, na pia hili linajidhihirisha siku tatu za mwisho hakukuwa na
foleni kabisa kwenye vituo vya uandikishaji huku vituo vingine wakala wakikosa
kabisa wateja la kushinda wakipiga soga hii inaonyesha kabisa watu wamemalizika
na kama kuna watu wasiojiandikisha basi hawakutaka tu”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Mwisho…………</span>Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-42009460322856010402015-07-28T06:50:00.000-07:002015-07-28T06:50:03.341-07:00Arusha FC yahitaji milioni 28 kumudu SDL.<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Timu ya
Arusha fc inayoshiriki ligi daraja la pili msimu ujao wa ligi ya Tanzania bara
imejikuta ikihitaji zaidi ya milioni 28 kwa ajili ya kugharamia timu hiyo hadi
kumalizika kwa SDL msimu wa 2015/2016, hivyo kuwaomba wadau watoe ushirikiano
wao kuhakikisha fedha hizo zinapatikana.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Zaidi ya
hayo wamewaomba wadau wa soka mkoani Arusha, kujitokeza katika kudhamini
chochote katika timu hiyo ili kuwezesha kuwatangaza katika mikoa yote
watakayocheza lengo ikiwa ni kutimiza azma yao ya kupanda hadi ligi daraja la
kwanza.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Hayo
yamejiri katika mkutano maalum wa wadau wa timu hiyo iliyofanyika hivi karibuni
katika viwanja vya Sheik Amri Abeid uliokuwa na lengo la kujadili namna ya
kuanza maandalizi ya ligi yao ya daraja la pili ikiwemo kufanya usajili,
kutafuta kocha sambamba na benchi la ufundi na viongozi.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Katika
mkutano huo uliohudhuriwa na wadau mbali mbali, Katibu Omari Kombo alisema kuwa
hadi kumalizika kwa ligi timu inahitaji milioni 28 kwa ajili ya kugharamia
usajili, malazi, usafiri pamoja na posho za wachezaji hivyo wadau watoe
ushirikiano wao kuhakikisha hili linafanikiwa ikiwemo kutafuta wafadhili wa
ndani na nje ya mkoa.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Katika
mkutano huo wadau pia waliamua kuteua viongozi watakao isimamia timu hiyo hadi
watakapo chagua viongozi wapya kwa mujibu wa katiba ya timu hiyo ambapo Abass Utanga
alipewa nafasi ya mwenyekiti, Wille Mollel makam mwenyekiti, Salim Kombo katibu
mkuu, Charles Mwaimu katibu msaidizi, Dr Kilavu mweka hazina.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Pia kamati
ya usajili na ufundi walioteuliwa ni Denis Shemtoi, Denis Nyambele, John
Change, Idd Mkulu, Azizi Nyoni, na Ally Wingi ambao Ndio watakao hakikisha AFC
inakuwa katika hali ya ushidani zaidi ya msimu ulipita na kufanikiwa kupanda
ligi daraja la kwanza.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">SDL msimu wa
2015/2016, inayotarajia kuanza kutimua vumbi mwezi wa kumi tarehe 17 kwa mujibu
wa taarifa iliyotolewa na TFF huku AFC ikiwa imepangwa kundi B pamoja na
Alliance FC [Mwanza], Madini FC [Arusha], Bulyanhulu FC [Shinyanga], JKT
Rwankome [Mara], na Pamba ya Mwanza. </span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mwisho…………….</span></div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-29169871143100223342015-05-29T03:27:00.000-07:002015-05-29T03:27:14.271-07:00Singh atwaa ubingwa wa "Northern province golf competition” 2015/2016<div dir="ltr">
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mwanamichezo
wa gofu za ridhaa (amacha) Prabvir Singh ameibuka kidedea katika michuano ya
wazi ya siku mbili yajulikanayo kama “Northern province golf competition” na
kufanikiwa kuwa bingwa wa mashindano hayo kwa mwaka 2015/2016.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mashindano
hayo ya wazi yaliyoandaliwa na chama cha gofu Tanzania, TGU (Tanzania gofu
Union) kwa kushirikiana na Arusha gymkhana club (AGC) yalifanyika kwa siku
mbili mwishoni mwa wiki ambapo Singh aliibuka mshindi wa jumla kwa kupiga mikwaju 141 na
kufanikiwa kuwa bingwa na kuzawadiwa kombe kubwa.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Michuano
hiyo iliyodhaminiwa na Benson Security System<span>
</span>pamoja na Sameer Parts ltd yaliweza kuwapa makombe pia mshindi wa daraja
la kwanza Simon Travers aliyepiga mikwaju 149 akifuatiwa na Izak Wanyeche
waliyepiga mikwaju 150.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Kwa daraja
la pili Jugdish Ahluwalia “Chuchu” aliibuka mshindi kwa kupiga mikwaju 146
akifuatiwa na Kush Lodhia<span> </span>149 huku
daraja la tatu Rujvil Sohal akishinda kwa mikwaju 150 akifuatiwa na Alliabbas
Somji aliyepiga mikwaju 151 wote wa Arusha.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Northern
province golf competition yalishirikisha pia wanawake na Lina Francis wa Arusha
kuibuka mshindi kwa kupiga mikwaju 148 na kwa watoto Jafari Omary wa TPC moshi
kwa mikwaju 146 huku Habbib Yusufali (Arusha) akiibuka mshindi kwa upande wa
wazee kwa kupiga mikwaju 168 na wote kupatiwa makombe madogo.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Zawadi za
makombe pia zilitolewa kwa washindi waliovuka viwango (Cross winner) ambapo
Abbas Adam wa Moshi aliibuka kwa kupiga mikwaju 154 akifuatiwa na Danniel
Corpella kwa kupiga mikwaju 154 pia washindi wa siku ya kwanza Muzafar Yusufali
aliibuka mshindi kwa mikwaju 72 na Minir Sheriff wa moshi alimfuatia kwa
mikwaju 73.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Washiriki wa
mashindano hayo 61 kutoka vilabu vya TPC na moshi club, Lugalo sambamba na
Arusha walitakiwa na mgeni rasmi ambae ni mhazini wa gofu taifa Gelase
Rutachibirwa kuwa wajitahidi kutafuta chipukizi wa mchezo huo watakaokuwa na
viwango vizuri kuunda timu ya taifa ili kufanikiwa kushiriki katika mashindao
mbali mbali ya kimataifa na kuiwakilisha nchi yetu.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Kwa upande
wa mmoja wa wadhamini wa mashindano hayo kutoka Benson Security System, Nadeem
Hussein alisema kuwa mashindano ya mara kwa mara kama hayo yanaweza kuwafanya
wachezaji kupanda viwango na kuwa wataalam wa mchezo huo (Proffessional) na
kupata ajira.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mwisho………….</span></div>
</div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-37496323679308221072015-05-29T03:25:00.000-07:002015-05-29T03:25:02.882-07:00Bimo Media yaiunga mkono CCM kuandaa tamasha la amani <h1 class="post-title entry-title">
</h1>
<div class="main-post-body">
<div class="MsoNormal">
<b><span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">na Mwandishi wetu - Arusha</span></b></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Uongozi wa
taasisi ya BIMO Media ya Mkoani Arusha. Umeelezea kuunga mkono hatua ya Chama
Cha Mapinduzi (CCM) kupendekeza kuwepo siku maalumu ya kuadhimisha umoja na amani
kitaifa.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">BIMO pia
imeelezea kufurahishwa na hatua ya CCM kutaka kuanzisha matamasha maalumu ya
umoja na Amani yanayolenga kudumisha mshikamano nchini bila kujali itikadi za
wananchi.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mkurugenzi
wa taasisi hiyo, Bertha Ismail Mollel amesema kuwa BIMO Media ilikuwa ya kwanza
kuandaa matamasha haya ya Amani na kwamba tukio la kwanza lilifanyika jijini
Arusha mnamo mwezi Desemba mwaka jana na kwamba kwa mwaka huu wako tayari
kabisa kuungana na Chama Tawala katika kuhakikisha kuwa matamasha ya Amani yanafanikiwa
kwa kiwango kikubwa hapo mwezi julai.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /><span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;"></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">"Swala
la amani ni jukumu la kila mtu hivyo sisi tulianza tukiwa na lengo
kubwa la kuwakutanisha vijana pamoja na kuwaeleza umuhimu wa amani na
wasikubali kugawanywa kwa misingi ya dini, ukabila wala siasa pia
wasikubali kutumika kama magaidi katika nchi yao bali wajenge uzalendo
wa hali ya juu" alisema Bertha.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Wakati huhuo
huo Msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameelezea
kufurahishwa na matamasha ya Amani na hasa pale yanapowalenga vijana ambao ndio
nguvu kuu ya taifa na ndio hasa wenye jukumu la kulinda Amani na kudumisha
umoja nchini.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Hata hivyo
Jaji Mutungi amebainisha kuwa, ni vizuri pia wanafunzi wa vyuo na shule zote
nchini washirikishwe kikamilifu bila kusahasu viongozi wa dini na taasisi zake
kwani huko ndiko wananchi huwakilishwa kwa wingi.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Hivi
karibuni uongozi wa juu wa CCM ulipendekeza kuwepo na siku maalum kitaifa kwa
ajili ya kuadhimisha umoja na Amani ambapo matuniko kadhaa yakiwemo ya michezo,
matamasha ya muziki, sala maalum na mengineyo yangekuwa yanafanyika na kuwaleta
pamoja wananchi katika maeneo yote nchini kujumuika bila kujali tofauti zao za
kiitikadi na kisiasa.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Matamasha
hayo yameelezewa kuwa ni hatua muhimu ya kuwaunganisha tena watanzania hususan
katika kipindi hiki cha uchaguzi ambapo watu wengi hujikuta wamegawanyika
kutokana na kampeni za wanasiasa wanaowania nafasi na nyadhifa kadhaa nchini huku wakitumia vijana kutishia uvunjifu wa amani.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /><span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;"></span></div>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">mwisho........</span>
</div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-63912440287696904432015-05-29T03:24:00.000-07:002015-05-29T03:24:03.253-07:00Ukata waikwamisha Arusha kushindana michuano ya majiji Afrika na kati<div class="main-post-body">
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgOXnHpc7P0kVudaXySckuQBDJZoLqLd_e8n_J2XWrHmofAMkm5TfpuQX-WsN6Fn6NXR7JlL3sDROfsDxAgwpzGDt5AGVLqcuU4tJ_Kk1Pvuf9JaR3c_MwwNsW9S_kuSgkMPjJR5HeqHnRs/s1600/arusha+basket.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgOXnHpc7P0kVudaXySckuQBDJZoLqLd_e8n_J2XWrHmofAMkm5TfpuQX-WsN6Fn6NXR7JlL3sDROfsDxAgwpzGDt5AGVLqcuU4tJ_Kk1Pvuf9JaR3c_MwwNsW9S_kuSgkMPjJR5HeqHnRs/s640/arusha+basket.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Timu ya Arusha mpira wa kikapu (wa kwanza kushoto ndie katibu wa mchezo huo Mkoa)</td><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><br /></td><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><br /></td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Bertha Ismail - Arusha</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Timu ya
mpira wa kikapu ya Jiji la Arusha ni miongoni mwa timu za majiji za Nchi za
Afrika yanayoshiriki mashindano ya mpira wa kikapu kila mwaka, lakini kwa mwaka
huu Ukata unaoindama timu hiyo imeshindwa kabisa kuwakilisha katika mashindano
hayo ya mwaka huu yaliyoanza kutimua vumbi katika uwanja wa ndani wa Taifa
jijini Dar es salaam jana.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Akizungumza
kwa uchungu mkubwa, katibu wa Mpira wa kikapu mkoa wa Arusha Bariki Kilimba
aliliambia gazeti hili kuwa wameshindwa kwenda kushiriki michuano hiyo
kuwakilisha jiji la Arusha kutokana na kukosa kiasi kidogo cha pesa
kilichopelea huku wadau wakishindwa kuwasaidia.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">“Kiukweli
imeniuma sana kushindwa kushiriki mashindano haya makubwa Afrika kwa sababu tu
ya kukosa kiasi kidogo cha pesa kwani bajeti yetu ilikuwa ni milioni 1.6 hivyo
tulitembea kwa wadau ikiwemo jiji la Arusha na kwa mkuu wa mkoa lakini
tuliambulia patupu, ila kwa sababu tuna moyo tuliamua kuchangishana kwa wale
wenye uwezo ambapo tulipata laki 8 na wachezaji wengine ni wanafunzi hivyo
walishindwa kuchanga na fedha ikapelea”</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">“kUfuatia
hali hiyo tulianza kutafuta marafiki wa karibu yetu lakini wengi hawakuwa na
uwezo wa kutusaidia hivyo tukaamua tu kutulia na nafasi yetu bado ipo hewani
hivyo tunaomba kwa watu wenye uwezo jamani watusaidie bado tuna nafasi ya
kuwakilisha jiji letu kwenye nchi<span> </span>za
Afrika au kampuni na taasisi zitusaidie nasi tutawatangaza kwenye nchi hizi
shiriki” alisema Kilimba.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Timu hiyo ya
wanaume yenye jumla ya wachezaji 10 ilianza mazoezi makubwa tangu mwezi
uliopita<span> </span>huku wakifanya mashindano ya
mara kwa mara za kirafiki kujifua kwa ajili ya mashindano hayo ya majiji wakiwa
na matumaini makubwa ya kurudi na ushindi lakini ukata umekatisha ndoto zao.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Aidha
michuano ya mpira wa kikapu kutoka majiji ya Afrika yameanza jiji Dar huku timu
kutoka sehemu mbali mbali zikishiriki ikiwemo majiji ya Tanga, Mwanza, Kampala,
Kigali Entebe, Nairobi Mombasa, Mogadishu, Hargeisa (Somalia), Bujumbura,
Garowe, Diaspora, Bentieu, Malakal,Juba, Cairo n.k.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal" style="margin-left: 3.75pt;">
</div>
mwisho............
</div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-7189795479595997702015-05-11T03:51:00.000-07:002015-05-11T03:51:08.783-07:00Mmoja afariki kwa kutumbukia bwawani- Arusha.<h1 class="post-title entry-title">
</h1>
<div class="main-post-body">
<div dir="ltr">
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
</div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhqoNYB0v8KVeo0bXtI38RFXu2S7OuFpB8oc9LCWg8uWBZbiku49sV_hmMVrx1VFpZyP6-aen756YF7Ad9iT_NAG2sJNqHrEdPxofFFX_R2orAkLgdmXQDRYJleNgAkvRyo6ks2G57tfuwV/s1600/maiti+opoa+1.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhqoNYB0v8KVeo0bXtI38RFXu2S7OuFpB8oc9LCWg8uWBZbiku49sV_hmMVrx1VFpZyP6-aen756YF7Ad9iT_NAG2sJNqHrEdPxofFFX_R2orAkLgdmXQDRYJleNgAkvRyo6ks2G57tfuwV/s640/maiti+opoa+1.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">mwili wa Ibrahim baada ya kuopolewa kwenye bwawa hilo na wasamaria wema baada ya wataalam wavamiaji kukosekana</td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
</div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 22.8266677856445px;"><span style="font-family: comic sans ms, sans-serif;"><br /></span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
<span style="font-family: 'comic sans ms',sans-serif; font-size: 16pt; line-height: 22.8266677856445px;">Arusha.
Mtu mmoja, Ibrahim Issa (25) amekufa maji baada ya kutumbukia kwenye
bwawa lenye maji linalomilikiwa na kampuni ya Kili flora lililoko eneo
la Mlangarini Wilayani Arumeru mkoani Arusha.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
</div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEie9SqaH1ZFdMN7botHG3VK-FvnSvN_819gWfFSnXyjJ4C4qJm3hMSXVNy8XQAHOcnlAq1nMJvJN5jBHhp9xrPPOhwW2tQm8a4-mA4_wiNTItcI7uKKg8PwkEf7GZ-vSZRfC6YY9LkG1b6v/s1600/maiti+opoa+2.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEie9SqaH1ZFdMN7botHG3VK-FvnSvN_819gWfFSnXyjJ4C4qJm3hMSXVNy8XQAHOcnlAq1nMJvJN5jBHhp9xrPPOhwW2tQm8a4-mA4_wiNTItcI7uKKg8PwkEf7GZ-vSZRfC6YY9LkG1b6v/s640/maiti+opoa+2.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">mwili ukipelekwa pembezoni mwa bwawa tiyari kutolewa kwenye maji</td></tr>
</tbody></table>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh4rUU1fkItwzSt6RbwsqcMNqpWd9G1QQG_-_k4clKEs4ngCrnqqo5ilj6Nvw4Jfli0s0hNXCA7al_apjRHNXNVj8I5HpywDVaHbZVSW9m0HYEs6jQTIe6tSHVcvR4T8IMR8_kGrle2PIcV/s1600/maiti+shuhuda.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh4rUU1fkItwzSt6RbwsqcMNqpWd9G1QQG_-_k4clKEs4ngCrnqqo5ilj6Nvw4Jfli0s0hNXCA7al_apjRHNXNVj8I5HpywDVaHbZVSW9m0HYEs6jQTIe6tSHVcvR4T8IMR8_kGrle2PIcV/s640/maiti+shuhuda.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya maua ya kili flora wakiwa wanashuhudia mwili wa mwenzao baada ya kuopolewa kwenye bwawa.</td></tr>
</tbody></table>
<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhlfFuQxH3u7FNyRPL6QduaknAfqkQ-X960m_2j8YiGji96D0_NQWLPQ6l4SCIOrk6ph24nNfaUVjXCUAasTftQso6uZ1Zwstc0TDlKijSqstXRH77c5rZsxn2xH48RYfcfOgfGwtHglBNI/s1600/Maiti+polisi.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhlfFuQxH3u7FNyRPL6QduaknAfqkQ-X960m_2j8YiGji96D0_NQWLPQ6l4SCIOrk6ph24nNfaUVjXCUAasTftQso6uZ1Zwstc0TDlKijSqstXRH77c5rZsxn2xH48RYfcfOgfGwtHglBNI/s640/Maiti+polisi.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">jeshi la polisi
pamoja na maafisa wa zima moto wakiondoa mwili eneo la tukio kuupeleka
chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya mkoa mount meru tiyari
kwa mazishi</td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
</div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 22.8266677856445px;"><span style="font-family: comic sans ms, sans-serif;">Mwili
huo uliodumu kwenye maji kwa muda wa masaa 26, uliokolewa na wasamaria
wema waliojitolea kuutafuta mwili huo ili kuutoa kwenye bwawa
alikotumbukia lenye kina cha maji mita 20 chini na mita 500 urefu.</span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
</div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 22.8266677856445px;"><span style="font-family: comic sans ms, sans-serif;">Baadhi
ya wafanyakazi wa kampuni hiyo ya Kili flora walisema kuwa marehemu
alitoka mapumziko ya kunywa chai saa nne asubuhi may 8 mwaka huu na
kubeba waya aliyotengenezea ndoano kwa ajili ya kwenda kujipatia samaki
lakini kwa bahati mbaya aliteleza na kuangukia ndani ya maji.</span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
</div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 22.8266677856445px;"><span style="font-family: comic sans ms, sans-serif;">“Kwa
mbali tulisikia kama kuna kelele bwawani nyuma ya mashambani na
tulipokwenda kutazama tulimuona Ibrahim (Mrehem) Akiomba msaada na
tukafanya juhudi za kumrushia kamba kuvuta lakini haikuwezekana kwani
alishachoka na ndipo alipozama”alisema Jane Macha</span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
</div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 22.8266677856445px;"><span style="font-family: comic sans ms, sans-serif;">Macha
alisema Tulitoa taarifa kwenye uongozi kumuokoa mapema lakini hata
hivyo ilishindikana kwa kutolewa ruhusa ya haraka kutokana na makao
makuu ya uongozi kuwa USA, eneo ambalo ni mbali na hapa hivyo baadae
uongozi ulipofika ulikuwa unasua sua kufanya taratibu za kumuokoa mapema
hivyo wananchi walijitosa kwenye maji na kuanza kumtafuta kucha bila
mafanikio.</span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
</div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 22.8266677856445px;"><span style="font-family: comic sans ms, sans-serif;">Mwenyekiti
wa mtaa wa Olomitu, kata ya Mlangarine, Absalom Kambaine alisema kuwa
ingawa alichelewa kupata taarifa lakini siku ya pili asubuhi ya May, 9
alikwenda kuomba msaada wa kuupata mwili kwa wataalam wa maafa wakiwemo
jeshi la polisi, jeshi wananchi kikosi 977kj, na kikosi cha zima moto
lakini hakufanikiwa kwa kile kinachodaiwa ukosefu wa vifaa.</span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
</div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 22.8266677856445px;"><span style="font-family: comic sans ms, sans-serif;">“Kiukweli
nimepata taarifa asubuhi hii nikaamka na kukimbia kimbia kwa wataalam
ambapo zimamoto walifika eneo la tukio lakini walisema hawawezi kuupata
mwili huo kwani hawana vifaa vya uokoaji majini pia wataalam wa kuzama,
nikaenda kambi ya jeshi hii hapa karibu moshono nao wakasema hakuna
wataalam wa uzamiaji majini bali wapo wavuvi pekee na hawataweza kufanya
kazi hiyo hadi kibali makao makuu pia polisi walifika hapa lakini wao
wakasema wamekuja kuweka ulinzi na kusubiri mwili tu” alisema mwenyekiti
Kambaine.</span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
</div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
</div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 22.8266677856445px;"><span style="font-family: comic sans ms, sans-serif;">Kwa
upande wa baba mzazi wa marehem Joseph Issa alisema kuwa hali hiyo ya
mwanae kuzama na kukaa ndani ya maji kwa zaidi ya masaa 26 ni uzembe wa
vikosi husika na serikali kwa pamoja kukosa vifaa vya uokoaji ndio maana
maafa yanatokea mara kwa mara huku hakuna anaejishughulisha na
tahadhari hivyo wanamuachia Mungu swala hilo,</span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
</div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
</div>
<div class="MsoNormal" style="font-size: 12.8000001907349px;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 22.8266677856445px;"><span style="font-family: comic sans ms, sans-serif;">Mwisho……</span>…</span></div>
</div>
</div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-69275742236745951782015-05-06T02:53:00.003-07:002015-05-06T02:53:57.990-07:00magazeti ya leo Tanzania mei 6, 2015<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02211" class="alignnone wp-image-112436" height="640" src="http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022111.jpg?resize=584%2C676" width="552" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<a href="https://www.blogger.com/null" name="more"></a><br />
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02212" class="alignnone wp-image-112437" height="640" src="http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022121.jpg?resize=588%2C783" width="480" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02213" class="alignnone wp-image-112438" height="640" src="http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022131.jpg?resize=583%2C776" width="480" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02214" class="alignnone wp-image-112439" height="640" src="http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022141.jpg?resize=598%2C796" width="480" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02215" class="alignnone wp-image-112440" height="640" src="http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022151.jpg?resize=596%2C792" width="481" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02216" class="alignnone wp-image-112441" height="640" src="http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022161.jpg?resize=594%2C791" width="480" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02217" class="alignnone wp-image-112442" height="640" src="http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022171.jpg?resize=599%2C797" width="481" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02218" class="alignnone wp-image-112443" height="640" src="http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022181.jpg?resize=600%2C799" width="480" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02219" class="alignnone wp-image-112444" height="640" src="http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022191.jpg?resize=606%2C806" width="481" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02220" class="alignnone wp-image-112445" height="640" src="http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022201.jpg?resize=597%2C795" width="480" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02221" class="alignnone wp-image-112446" height="640" src="http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022211.jpg?resize=595%2C808" width="471" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02222" class="alignnone wp-image-112447" height="640" src="http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022221.jpg?resize=599%2C799" width="479" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02223" class="alignnone wp-image-112448" height="640" src="http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022231.jpg?resize=596%2C795" width="479" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02224" class="alignnone wp-image-112449" height="640" src="http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022241.jpg?resize=607%2C807" width="481" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02226" class="alignnone wp-image-112451" height="640" src="http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022261.jpg?resize=599%2C832" width="460" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02227" class="alignnone wp-image-112452" height="640" src="http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022271.jpg?resize=595%2C818" width="465" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02228" class="alignnone wp-image-112453" height="640" src="http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022281.jpg?resize=598%2C796" width="480" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02229" class="alignnone wp-image-112454" height="640" src="http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022291.jpg?resize=593%2C790" width="480" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02230" class="alignnone wp-image-112455" height="640" src="http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022301.jpg?resize=596%2C794" width="480" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02231" class="alignnone wp-image-112456" height="640" src="http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022311.jpg?resize=592%2C836" width="453" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<img alt="DSC02232" class=" wp-image-112457 aligncenter" height="640" src="http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC022321.jpg?resize=585%2C850" width="440" /> </div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div class="fb-social-plugin fb-like fb_iframe_widget" data-font="tahoma" data-href="http://millardayo.com/magazeti-0605tza/" data-layout="button_count" data-ref="below-post" data-share="true" data-width="450">
<span style="height: 20px; vertical-align: bottom; width: 127px;"></span></div>
<div class="article_above_ads tcenter">
<br />
</div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-21955890574008574652015-05-06T02:34:00.000-07:002015-05-06T02:34:07.172-07:00mashabiki wa simba wapiga yanga 6-3<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Bertha Ismail - Arusha</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Wakati
matani ya hapa na pale yakiendelea baina ya mashabiki wa timu kongwe nchini
Simba na Yanga, mashabiki hao <span> </span>Arusha
wameamua kufuta ubishi wa nani Mb’abe wa kandanda safi, ambapo Simba
wamedhiirisha umwamba wao baada ya kuwabugiza Yanga mabao 6-3.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mchezo huo
wa kirafiki uliowakutanisha mashabiki wa simba na yanga Arusha, uliopigwa
katika uwanja wa shule ya msingi Moshono kwa lengo la kutaka kujua nani m’babe
wa soka, Simba ilidhiirisha umwamba wake baada ya kuwapiga mashabiki wa Yanga
jumla ya mabao 6-3.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mchezo huo
ulioanza kwa kasi ya aina yake na kujaza mamia ya mashabiki, Timu ya Simba ndio
ilianza kupata mabao mawili ya haraka haraka ambapo bao la kwanza liliingizwa dakika
ya sita mwa mchezo kupitia kwa Wilfred Kadege na Robert Boniface akipiga bao la
pili dakika ya nane na kupelekea mashabiki kujigawa kwa ushangiliaji.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Wachezaji wa
Yanga walionekana kujawa makali zaidi na kuongeza kasi ya kupambana kuligusa
lango la Simba ambapo dakika ya 25 Frank Shapi alifanikiwa kuipatia timu ya
Yanga bao la kwanza ambapo hata hivyo kipigo kwao kiliendelezwa na Robert
Boniphace aliyeiandikia timu yake ya Simba bao la Tatu dakika ya 34 hali
iliyozidisha hasira za wana-Yanga hao ya kulisakama lango la Simba ambapo hata
hivyo Frank Kamili alijifunga katika harakati za kuokoa na kuiandikia timu ya Yanga
bao la pili dakika ya 39 hadi mapumziko.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Kipindi cha
pili kilianza huku timu ya Simba ikionekana na mabadiliko ya hali ya juu na
mashambulizi ya iana yake na dakika ya 68 Wilfred Kadege aliiandikia samba bao
la nne na <span> </span>Robert Boniphace kuandika bao
la tano dakika ya 75 hali iliyonyamazisha kelele za mashabiki wa nje wa Yanga na
shangwe za mashabiki wa samba zikitawala na kuzidi kuvuta umati wa watu
kushuhudia mtanange huo.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Baada ya
mabao hayo wachezaji wa Yanga walionekana dhahiri kujawa na ghadhabu na jazba
za hapa na pale huku wengi wakikoswa koswa na kadi za mwamuzi Gasper Getto
lakini dakika ya 78 Mrope Mrope alibahatisha bao la tatu kwa timu yake ya Yanga
baada ya kupiga shuti lisilo na matumaini ya kupata bao na dakika ya 86 Frank
Kamili alifunga wingu la mvua ya mabao kwa timu ya Simba, na kuleta matokeo ya
6-3 hadi hadi dakika 90 kutia nanga. </span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Wakizungumza
na gazeti hili, Kaptein wa timu ya Mashabiki wa simba Arusha, Wilfred Kadege
alisema kuwa wameamua kutumia week end hiyo kuwafunga mdomo mashabiki wa Yanga
kwamba wao ndio wababe wa kandanda baada ya kuweka matambo mengi kwa mdomo
hivyo wakaamua kuwaonesha kazi ya Simba uwanjani.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">“Tumeamua
kutumia jumapili hii kuwafunga mdomo hawa watani wetu maana wamekuwa wanatamba
sana mdomoni hasa baada ya kufanikiwa kucheza Kamari ya ligi kuu na kuwa
mabingwa lakini wajue kuwa hawatufikii kwa lolote kwani kama ni zawadi ya
kucheza mpira tunawazidi baada ya kucheza mtani jembe na kombe la Zanzibar
tumeingiza zaidi ya watakachopewa kwenye ligi kuu milioni 75 sisi tumeshinda
mechi mbili tuna milioni 120.”alijitamba Kadege.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Kwa upande
wa msemaji wa timu ya mashabiki wa Yanga, Joram George alisema kuwa ingawa
mchezo huo wamepoteza lakini wanaamini Simba hawajawazidi kitu zaidi ya
kubahatisha mchezo huo baada ya wachezaji wengi wa timu yake kuwa majeruhi
ikiwemo mlinda mlango namba moja ambapo amesema ili kudhihirisha hilo wataomba
mechi ya marudiano wadhihirishe ubabe wao wa ligi kuu.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">“tumepoteza
kwa bahati mbaya tu huu mchezo lakini sisi yanga ndio kila kitu na ndio maana
wanatupigia saluti tukiingia uwanjani na huu mchezo wamebahatisha baada ya
wachezaji wetu wengi kuwa majeruhi lakini tutaomba mchezo wa marudiano na
ukweli utajitenga na uongo”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Kwa upande
wake kocha wa timu ya mashabiki hao wa Yanga kwa ujumla waliounga umoja wao wa
mwangaza maveterani, Patson Mambete alisema kuwa mchuano huo wa kirafiki
ulilenga kutoa burudani ya aina yake lakini pia kumaliza ubishi wa kila siku wa
ubabe wa watu wa Simba na Yanga hapa mkoani Arusha.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mwisho……………………..</span></div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-36868548955774868152015-05-06T02:31:00.000-07:002015-05-06T02:31:00.578-07:00 Arusha Ryno washindwa kuwatambia Mombasa SC nyumban<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"><br /></span>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhMoYxR5Gx01tvPu-MJjARtMpHlEWNj17LZAK0vICvmQW38lL81forw1sJKGZJ6Kovu1x7j1f1HMy1XSbt6mhuMJh3VhhglXdjx1msrE-0jCCTe9aIgbvsBqLncXgV9MKH6dUofkxrKU-O1/s1600/rugby+2.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhMoYxR5Gx01tvPu-MJjARtMpHlEWNj17LZAK0vICvmQW38lL81forw1sJKGZJ6Kovu1x7j1f1HMy1XSbt6mhuMJh3VhhglXdjx1msrE-0jCCTe9aIgbvsBqLncXgV9MKH6dUofkxrKU-O1/s1600/rugby+2.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">wachezaji wa Arusha ryno (Tanzania- kijani) wakiwania mpira uliorushwa pamoja na timu ya Mombasa sc</td></tr>
</tbody></table>
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"><br /></span>
<div class="MsoNormal" style="margin-left: 0.25in;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-left: 0.25in;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Timu ya Arusha Ryno ya Tanzania imeshindwa kutamba nyumbani
mbele ya timu ya Mombasa SC ya Kenya, baada ya kulazwa kwa point 28-26 katika
mchezo wa awali wa mfululizo wa mashindano ya Rugby yanayoshirikisha timu za nchi
za Afrika mashariki.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal" style="margin-left: 0.25in;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Arusha Ryno ilishindwa kutamba katika uwanja wake wa nyumbani
wa TGT ulioko kisongo jijini Arusha kwa mara ya kwanza mbele ya Mombasa katika
michuano hiyo ya mchezo wa Rugby ya nchi za Afrika mashariki ijulikanayo kama
“Hatch cup” iliyochezwa mapema mwishoni mwa wiki.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhyEjgvBd-Iti0gvOWstdMyoepZk6iCs5tUvVqIt-rvofmCZSEj_etR-J_X31jHdVF2nhJ-w1yIo3yLlpRxzCTs-WKrgdGFtXhMmODWEhn4baElAQMWyYl8NU8pBVEY_oYJEcOJXpAIoJMo/s1600/rug+333.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="478" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhyEjgvBd-Iti0gvOWstdMyoepZk6iCs5tUvVqIt-rvofmCZSEj_etR-J_X31jHdVF2nhJ-w1yIo3yLlpRxzCTs-WKrgdGFtXhMmODWEhn4baElAQMWyYl8NU8pBVEY_oYJEcOJXpAIoJMo/s1600/rug+333.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Timu ya Arusha ryno wakimiliki mpira </td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal" style="margin-left: 0.25in;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Akizungumza baada ya michuano hiyo, Kaptein wa timu ya Arusha
Ryno, Justine Robert alisema kuwa tangu kuanza kwa mashindano hayo kwa zaidi ya
miaka mitatu hawajawahi kufungwa na timu ya Mombasa lakini kwa leo hali hiyo
imetokea hali inayowatia uchungu sana na kuahidi kufanya vizuri katika mechi ya
marudiano.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal" style="margin-left: 0.25in;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">“Kiukweli hatujawahi kufungwa na hawa jamaa lakini imetokea
hivyo niahidi kwa sababu ni mechi ya awali na kuna marudiano tutafanya vema na
tutaanza mazoezi makali kwa ajili ya kuwafunga mabingwa watetezi ambao ni
“Dar-es-salaam Leopard” may 9 mwaka huu hivyo mashabiki wetu wasikate tama
kwani kombe hili la “Hutch cup” linakuja Arusha”</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal" style="margin-left: 0.25in;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Kwa upande wake kaptein wa timu ya Mombasa SC, Chris Atingo
alisema kuwa wanayo furaha kwa mara ya kwanza kumfunga timu ya Arusha Ryno
kwani kwa miaka kadhaa sasa wamekuwa vibonde mbele ya timu hiyo hali
iliyowalazimu kufanya mazoezi ya usiku na mchana kuhakikisha wanakuwa mlima
mkali.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal" style="margin-left: 0.25in;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">“Leo tunayo furaha kumfunga Arusha kwani miaka kadhaa sasa
wamekuwa wakitufunga hali ambayo imefikia sehem tukasema iwe mwisho na tukaamua
kufanya mazoezi usiku na mchana na matunda ya mazoezi yetu tumeyaona na
tutaendelea ili kumfunga pia dar- Leopard na Arusha tutakapomkaribisha nyumbani
kwetu Mombasa hivyo karibuni na ninyi waandishi muone vibonde wamegeuka mlima”
alisema Chris wakishangiliana na timu wenzake.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal" style="margin-left: 0.25in;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Aidha michuano hiyo ya mchezo wa Rugby inayohusisha nchi za
Afrika mashariki kwa mwaka huu zimeshiriki timu tatu za Dar, Arusha na Mombasa
yakiwa na malengo ya kuwafanya vijana chipukizi kuwaonesha mbinu za mchezo huo
katika mashindano ili waweze kuiga na kuyatekeleza ili kushinda wanaposhiriki
katika mashindano ya kimataifa ambapo timu za nchi hizi zimekubaliana
kushirikiana kukuza mchezo huu.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh2ss12iyS2yk4aInxwfGQ71HCS_oGemh3YDUKDbGhWU7uZGZRpFsup_tWMhYK-z4N5kCSDDqvoMfisjImmE2SgMKM4BnbZG0veFhbEvSGBS9HnIDuEFwt8L9X5UTO1g66J7inJHTx2gN0O/s1600/rgb+6.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="478" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh2ss12iyS2yk4aInxwfGQ71HCS_oGemh3YDUKDbGhWU7uZGZRpFsup_tWMhYK-z4N5kCSDDqvoMfisjImmE2SgMKM4BnbZG0veFhbEvSGBS9HnIDuEFwt8L9X5UTO1g66J7inJHTx2gN0O/s1600/rgb+6.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">timu ya vijana
wadogo walioko chini ya mradi wa kukuza na kuendeleza mchezo wa Rugby
Arusha wakichuana kabla ya mechi ya wakubwa ambapo hata hivyo vijana wa
Pallot waliibuka bingwa chini ya young Ryno 24-10</td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal" style="margin-left: 0.25in;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Awali katika mchezo wa kuwakaribisha miamba hao wa Mombasa na
Arusha, timu ya vijana wadogo chini ya umri wa miaka 15 walioko chini ya mradi
wa kuendeleza mchezo wa Rugby Arusha (Arusha Rugby Development Programme- ARDP)
waliminyana kati ya timu ya Pallot na “Young Ryno” ambapo hata hivyo pallot
waliwabigiza wenzao kwa point 24-10.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal" style="margin-left: 0.25in;">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Michuano hiyo ya Rugby Hutch cup imeanza imeanza mwanzoni mwa
mwezi huu ambapo timu ya Mombasa SC waliwakaribisha mabingwa watetezi Dar-
leopard ambapo miamba hiyo ilishindwa kutambiana na kutoka suluhu ya point 12-
12 ambapo wanatarajia kurudiana jijini Dar mwishoni mwa mwezi huu wa may.</span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Mwisho…………….</span></div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-15508389348951576252015-05-06T02:15:00.001-07:002015-05-06T02:15:26.072-07:00michael wapania kuvunja rekodi za riadha miaka 40 iliyopita<div dir="ltr">
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Bertha- Arusha</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Wanariadha
wa kimataifa Michael Gwandu na Michael Michael Danford wa Arusha wameanza
mazoezi makali ya kuhakikisha wanavunja rekodi ya kitaifa za mbio fupi, ya
kuruka chini na viunzi iliyodumu kwa zaidi ya miaka 40 sasa.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Wanariadha
hao wanaojifua katika viwanja vya sheik amri abeid kwa kuruka viunzi na kuruka
chini na mitupo wamesema kuwa wamekuwa mabingwa wa mchezo huo kwa miaka zaidi
ya tano sasa hivyo kwa sasa mwaka huu wanajifua kwa ajili ya kuvunja rekodi ya
taifa ya michezo hiyo.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">“Sisi tunajinoa makali kwaajili ya kuvunja rekodi za kitaifa kwanza
na baadae dunia katika mbio fupi, kuruka na mitupo ambapo mbali na kuwashinda
wapinzani wetu wa mikoa mingine lakini pia ni kuvunja rekodi ya kitaifa
zilizowahi kuwekwa ikiwemo ya kuruka chini iliyowekwa na Raphael Mlewa mwaka
1971”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Kwa upande wa kocha wa wanariadha hao Samweli Tupa alisema
kuwa wanariadha hao wamekuwa wakichukua ubingwa wa mara kwa mara katika mashindano
ya kitaifa na jumuiya ya madola lakini cha kushangaza wengi wameshindwa kuvunja
rekodi zilizowekwa kipindi cha nyuma hali ambayo ameamua kuwanoa wachezaji wake
wavunjerekodi hizo.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">“Kuna rekodi zimewekwa miaka zaidi ya 40 sasa kama mirujko
mitatu iliwekwa rekodi mwaka 1970 na John Kanondo na kuruka viunzi kwa mita 110
lakini cha kushangaza rekodi hizo hazijavunjwa licha ya kila siku kujisifia
wachezaji wetu kufanya vizuri kwa kuwa wa kwanza wakati rekodi za miaka ya
ukolono bado ipo”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 21.3333px; line-height: 24.5333px;">alisema
kuwa kwa sasa wanariadha hao mbali na kufanya mazoezi ya peke yao pia
watashiriki katika mashindano mbali mbali ikiwemo ya may 25 ya kitaifa
itakayochagua wachezaji watakaowakilisha nchi katika mashindano ya wazi
ya Uganda mwezi june.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">Hata hivyo kochaTupa aliiomba serikali kusaidia mchezo huo
kama awali ili uweze kuendelea kurudi na medali nyingi na kuvunja rekodi za
dunia kama awali na kusema kuwa Tanzania inashindwa kufanya vizuri kutokana na
kukosekana kwa sapoti kutoka serikalini kama ilivyokwa nchi kama Kenya, Unganda,
n.k.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;">mwisho…………….</span></div>
</div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-58320550291258423132015-05-06T02:05:00.000-07:002015-05-06T02:05:12.958-07:00GINIKI AZIDI KUNG'AA KITAIFA<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Bertha
Ismail<span> </span>- Hanang’</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mwanariadha
Emmanuel Giniki amezidi kung’ara katika mbio mbali mbali za hapa nchini, baada
ya mwishoni mwa wiki hii kung’ara tena katika mbio za may day kwa kukata upepo
wa km 21 kwa kutumia saa 1: 01:17 na kuwaacha wenzake zaidi ya 70.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mbio hizo
zilizofanyikia Katesh makao makuu ya wilayani hanang’ kwa ajili ya kuadhimisha
sikukuu ya wafanyakazi, Giniki alifanikiwa kuwa wa kwanza kumaliza mbio hizo
akifuatiwa na Msandiku Mohamed aliyemaliza kwa saa 1:03:18 na aliyeshika nafasi
ya tatu ni Stephano Huche 1:03:21.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Kwa Upande
wa wasichana Anjelina Tsere alifanikiwa kutwaa ushindi baada ya kumaliza mbio
hizo za km 21 kwa kutumia saa 1 :16: 43 akifuatiwa kwa karibu na Rozalia
Fabiano kwa kutumia saa 1:21;15 na Amina Mohamed akishika nafasi ya tatu kwa
kutumia saa 1:21:43.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mgeni rasmi
katika mbio hizo ni aliyekuwa waziri mkuu zamani Fredrick Sumaye ambapo mbali
na kupongeza uongozi wa riadha manyara na waandaji aliwataka kuendeleza
mashindano ya mara kwa mar ili kuwaweka wanariadha katika hali ya kufanya
mazoezi ya mara kwa mara na kufanikiwa kushinda mbio za kimataifa hatimaye
kurudisha heshima ya mkoa huo katika historia riadha.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Kwa upande
wa waandaji , Alfredo Shahanga alisema kuwa kwa sasa wameamua kuendesha
mashindano ya mara kwa mara ya mchezo huo ili kuwaweka wachezaji sawa kupambana
katika michuano ya kimataifa iliyoko mbele yao ikiwemo ya All afrika game hivyo
waweze kujitathimini mapema.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mwisho……………….</span></div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-69560669417855556942015-05-06T02:02:00.003-07:002015-05-06T02:02:47.618-07:00Mbulu wachekelea RCL<br /><br />
<br />
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Bertha Ismail - Arusha</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Chama cha
soka wilaya ya Mbulu, Kimeipongeza shirikisho la Soka nchini kwa kutambua
umuhimu wa wilaya hiyo kimichezo na kuwapa nafasi ya kuwa moja ya vituo vitatu
vya michuano ya ligi ya mabingwa wa mikoa Tanzania inayotarajia kutimua vumbi
may 2 mwaka huu.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Michuano
hiyo ya RLC itashirikisha jumla ya timu 27 nchini katika vituo vitatu vya Mbulu
(Manyara) , lindi na Sumbawanga ambapo kila kituo inatarajiwa kuwa na timu tisa
ambapo kwa Mbulu kutakuwa na timu ya Madini (Arusha), alliance school (Mwanza),
Bariadi united (Simiyu) zingine ni <span> </span>Baruti (Mara), Lukirini fc (Geita), Mtwivila
City (Iribga), RAS Kagera fc (Kagera) pamoja na Small Prison (Tanga) na
Watumishi fc (Shinyanga).</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Ugeni huo
mkubwa umewapa motisha kubwa wakazi na viongozi wa soka wilaya ya Mbulu na
kufurahia nafasi hiyo adimu huku wakitoa shukrani zao za dhati kwa shirikisho
la soka Tanzania kwa kutambua mchango wao huku wakisema kutumia michuano hiyo
kama mafunzo kwao.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">“Kiukweli
tumefurahi sana TFF kutuletea michuano hii kwani itakuwa kama fursa kwetu ya
kujifunza nini wenzetu wanafanyaga na tujifunze kwa kuiga ili na sisi tusonge
mbele kisoka kwani imekuwa ikituuma sana zaidi ya miaka 10 hatujaonja ligi kuu
na miaka mitano hatujui ligi daraja la kwanza likoje” alisema katibu wa soka
wilaya ya Mbulu Fortunatus Kalewa. </span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">“Tunashukuru
timu nyingi zimeshaweka oda ya sehemu za malazi na viwanja vya mazoezi ikiwemo
timu ya madini fc ya Arusha hivyo naamini itakuwa fursa kwetu kuwaleta
wachezaji wa timu mbali mbali za mkoani hapa kuja kuiba mbinu wanazotumia
wenzetu katika mashindano hadi wanasonga mbele na kuwakilisha mikoa yao katika
ligi za ngazi za juu”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Kituo hicho
cha Mbulu mashindano ya ligi ya mabingwa wa mikoa inatarajiwa kuanza kutimua vumbi may 9 katika
viwanja vya Nyerere wilayani mbulu mkoani Manyara ambao uko katika hali nzuri
kimandhari na uzio ingawa majukwaa bado ni changamoto.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mwisho………………….</span></div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-90009838451961417072015-04-24T00:55:00.002-07:002015-04-24T00:55:50.500-07:00wadau wasusa uongozi ADFA<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Bertha
Ismail – Arusha</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Kamati huru
ya uchaguzi wa uongozi mpya wa chama cha soka wilaya ya Arusha,<span> </span>imefunga Rasmi pazia la uchukuaji fom wa
kugombea nafasi mbali mbali katika chama hicho.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Zoezi la
uchukuaji fom wa kugombea uongozi wa ADFA, ulianza rasmi April 15 na kufungwa
mapema jana april 20 ambapo wadau wengi wa soka wameonekana kuogopa nafasi hizo
zilizoachwa wazi na kupelekea idadi ndogo ya wagombea huku nafasi zingine
zikikosa wagombea.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Awali wadau
wengi jijini Arusha walionekana kutolea macho viti hivyo kabla tarehe ya
uchaguzi kuanza lakini baada ya tarehe ya uchaguzi kutangazwa wengi wameonekana
kukaa nyuma kutazama wachuaji fom bila kujishughulisha.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Akizungumza
na gazeti hili, katibu wa kamati huru ya uchaguzi, Hussein Lembarity alisema
kuwa nafasi zilizo wazi ni nafasi 10 ambazo kila mmoja ingefaa kuwa na wagombea
watatu hadi watano lakini ambao ni zaidi ya watu 30 lakini anashangazwa na watu
waliojitokeza ni watu 10 tu huku baadhi ya nafasi zikigombewa na mtu mmoja au
wawili na zingine zikikosa kabisa wagombea.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">“Mwanzo
tulipochgauliwa tu watu wengi sana walijitokeza kuponda uongozi uliopo na
kuahidi kuchukua fom za kupindua uongozi huu lakini baada ya kuanza kutoa fom
watu wanachenga hali iliyopelekea nafasi zingine kukosa wagombea huku zingine
zikiwa na mashaka ya kupita ila kwa sababu tumefunga pazia hilo hatuna budi
kukubali matokeo na sasa ni nafasi ya kuweka pingamizi hadi april 24 kwa
gharama ya 50,000”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Akitaja
majina ya wagombea hao alisema kuwa nafasi ya mwenyekiti imegombewa na mtu
mmoja ambae ni Omary Walii, makamu mwenyekiti mgombea mmoja Elisha Sironga huku
nafasi ya katibu mkuu Zakayo Mjema akitetea nafasi yake na mpinzani ni Abdul
Kondo na katibu msaidizi mgombea ni Athumani Juma na mweka hazina mmoja, Omary
Kondo.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Kwa upande
wa wajumbe wa mkutano mkuu wagombea ni Mwalizo Nassoro na Ayub Juma Kilabula
huku nafasi ya uwakilishi wa vilabu akigombea mtu mmoja, Robert Munisi.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">“Hao ndio
wagombea na tumebandika majina hayo ukutani mwa uwanjan wa Sheik Amri Abeid kwa
ajili ya watu kuleta pingamizi za wagombea hawa kama hawajatimiza sifa ya
kugombea uongozi wa soka wilaya ikiwemo kuwa mkazi wa hapa jijini, elimu ya
kidato cha nne, au kama hana uzoefu wa mpira wala taaluma ama aliwahi
kuhukumiwa kwa kosa lolote”.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Uchaguzi huo
wa ADFA unatarajiwa kufanyika mapema may 2 mwaka huu katika ukumbi wa viwanja
vya Sheik Amri Abeid huku wajumbe na vilanu vyote vikitakiwa kulipa ada au
kusajiliwa ili kuwa wajumbe halali wa mkutano huo na kupata kiongozi
watakaempenda na kumwamini.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mwishoo………………………</span></div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8437962134975612175.post-68207235125177026342015-04-24T00:39:00.000-07:002015-04-24T00:39:09.459-07:00Taekwondo kufuana jumamosi <div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Bertha
Ismail - Arusha</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Vilabu<span> </span>nane kutoka jijini Arusha zinatarajia
kupimana uwezo katika mchezo wa Taekwondo katika ligi maalum<span> </span>inayotarajiwa kutimua vumbi appril 25 mwaka
huu katika viwanja vya Complex vilivyoko njiro jijini hapa kwa ajili ya
kuchagua wachezaji watakaowakilisha mkoa katika mashindano ya kitaifa ya Mei
mosi.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Vilabu vya
Taekwondo vinavyojifua katika viwanja mbali mbali kwa ajili ya mashindano hayo
ni pamoja na Tripple ‘A’, Naura, kili, Kijenge pamoja na Meru, Chishwea, M.S na
AICC ambapo kila mchezaji anasaka nafasi ya kuchaguliwa kuunda timu ya mkoa
itakayo wakilisha katika mashindano hayo ya mei mosi yatakayofanyika jijini
hapa may 1 mwaka huu.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Akizungumza
na gazeti hili, katibu mkuu wa shirikisho la mchezo wa Taekwondo Tanzania,
Shija Shija alisema kuwa wametoa nafasi kwa vilabu mbali mbali kujiandaa na
mashindano ya mei mosi itakayosaidia kuendelea kuwanoa wachezaji katika
mashindano ya kitaifa baadae watakapokua wanachagua timu itakayowakilisha nchi
kwenye mashindano ya Afrika hapo septemba kule Brazavile, Congo.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">“Mashindano
haya ni ya wazi kwa vilabu vyote Tanzania kushiriki ili kuwanoa zaidi wachezaji
wao na tutaandaa mashindano mbali mbali kwa wachezaji kutoka ndani na nje ya
nchi lengo ni kuwajenga wachezaji wetu kimashindano zaidi wazidi kuleta medali
mbali mbali za kimataifa kama mashindano yaliyopita”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">Mkurugenzi
wa ufundi wa mchezo wa Taekwondo mkoa wa Arusha Richard Kitolo aliliambia
gazeti hili kuwa wameandaa mashindano yao maalum ya ndani ili kuchagua
wachezaji wazuri watakaoshiriki michuano ya mei mosi ambayo wao watatayatumia
mashindano hayo<span> </span>kuchagua timu ya mkoa
itakayowakilisha katika mashindano ya kitaifa baadae.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">“Sisi
wenyewe tumeamua kuandaa mashindano yetu ya ndani kabla hayo ya mei mosi
hayajafika ili kuanza mchujo wa wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kupambana na
mchujo wa pili tutaufanya kwenye mashindano hayo ya mei mosi kupata timu ya
mkoa”</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 16pt; line-height: 107%;">“Sisi
mashindano haya kwetu ni mazuri na tutatumia kuchagua timu ya Mkoa,<span> </span>lakini changamoto kubwa inayotukabili kwa
sasa ni wachezaji wachache kutokana na wazazi kutoruhusu watoto wao kushiriki
katika mchezo hasa wasichana hivyo tuwaombe wazazi wawaruhusu watoto kushiriki
katika michezo kama hiyo kuwajenga kiakili na afya pia”</span></div>
Bertha Mollelhttp://www.blogger.com/profile/09673886620010668940noreply@blogger.com0