.

.
Tuesday, October 1, 2013

1:42 PM
Add captionmkuu wa mkoa wa mbeya Abbas Kandoro akiapa kuwa ameupokea salama mwenge wa uhuru kama alivyokabidhiwa na mkuu wa mkoa wa Njombe leo hii 

 mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akimkabodhi mwenge mkuu wa wilaya ya Mbeya dk Norman Sigala ambaye ataukimbiza mwenge huo kwenye halmashauri yake.
 mkuu wa wilaya ya mbeya Dk Norman Sigala akikiri kuupokea mwenge huo
viongozi mbalimbali wa mkoa wa Njombe na wilaya ya Makete wakielekea kwenda kuukabidhi mwenge huo kwa mkoa wa jirani wa Mbeya(picha zote na Edwin Moshi)

0 comments:

Post a Comment