![]() |
Khamis Mcha 'Vialli' akishangilia baada ya kuifungia Zanzibar bao la kwanza |
![]() |
Adeyom Saleh Ahmed akimtoka beki wa Kenya, Joackins Atudo |
![]() |
Nadir Cannavaro ameruka na kipa wa Kenya |
![]() |
Mcha anapasua ukuta wa Kenya |
![]() |
Mcha Vialli kamlamba mtu chenga, kamuacha chini anaambaa |
![]() |
Suleiman Kassim 'Selembe' akipasua katikati ya msitu wa wachezaji wa Kenya |
![]() |
Kocha wa makipa wa Zanzibar, Farouk Ramadhan akimpa maelekezo kabla ya mechi kipa Mwadini Ally |
![]() |
Kikosi cha Zanzibar leo |
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.