.

.
Friday, February 14, 2014

11:39 AM


Hakuna mtu aliyeripotiwa kudhurika na Mkuu wa Chuo hicho Kamishana Msaidizi wa Polisi Matanga Mbushi ameahidi kutoa taarifa kamili baadaye.
 



Askari wanafunzi wakipambana na moto kwa kila jinsi.

Mapambano na moto yanaendelea

Baadhi ya vitu vikiokolewa kutoka katika jengo lililowaka moto.

Juhudi za kuondoa vifaa vilivyookolewa kabla ya kuteketea kwa moto

Wanafunzi wakipambana na moto






Sare za askari zikiwa zimeokolewa toka katika jengo hilo.

Moja ya kifaa kilichopo chuoni hapo ambacho pia kilikuwa kikitumika kwa shughuli za kuzima moto katika jengo hilo .Mkuu wa chuo hicho Matanga Mbushi amesema taarifa kamili ya moto huo itatolewa baadae.


Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro Robert Boaz akiwa na mkuu wa Chuo cha taaluma ya Polisi kamishana msaidizi wa polisi Matanga Mbushi wakishuhudia zoezi la uzimaji moto katika jengo hilo.




CHANZO MATUKIO ISSA MICHUZI

0 comments:

Post a Comment