.

.
Monday, June 9, 2014

11:29 PM
Hatimae mbunge wa Arumeru mashariki mh. Joshua Nassari na Bi. Anande Nnko wafunga pingu za maisha na kuwa mwili mmoja katika kanisa la Kilinga na baada ya hapo kuelekea katika viwanja vya Usa- River Academy ambako ndiko sherehe ilipofanyika.
Siku ya Jumamosi tarehe 7 Juni 2014 itakumbukwa na wawili hawa kama siku yao ya kumbu kumbu ya ndoa yao, pamoja na wageni wengi waliojitokeza, viongozi wa kiserikali pamoja na wale wa kisiasa, taasisi na dini walikuwepo kwa wingi. Tunawatakia ndoa njema na Mungu awalinde.

0 comments:

Post a Comment