.

.
Wednesday, October 2, 2013

5:04 AM

 

 Polisi wakiwa katika ulinzi mkali 
 Maduka yakiwa yamefungwa 

 Wafanya biashara wakiwa uwanjani kungoja kusikiliza nini  hatma yao
 Baadhi ya watu wakiwa wanakimbia Baada ya Mabomu ya machozi kuanza kurushwa kuepusha vurugu
 Mawe yakiwa yamepangwa kuzuia magari yasiende kokote

 Maduka yote yakiwa yamefungwa eneo la mwanjelwa kupinga ununuzi wa mashine hizo za TRA
 Vijana hawa wakiwa wana nawa uso baada ya Bomu la machozi kuwapitia 
 Jiwe kubwa likiwa limewekwa katika Barabara magari yasipite


 Hali tete Tayari vijana wameanza kuchoma mataili.....


0 comments:

Post a Comment