.

.
Sunday, September 29, 2013

11:37 PM
  Grace Mbowe mwanamama aliyehama chama cha Chadema na kuhamia CCM wilayani Hai amefariki dunia katika ajali mbaya ya dari iliyotokea Kab
uku mkoani Tanga mapema asbuhi ya jana Septemba 29/ mwaka huu. 

Gerce ni dada wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freema Mbowe. Tutaendelea kuwajulisha juu ya tukio hilo, mwenyezi mungu ampumuzishe kwa amani.
chanzo: jumamtanda

0 comments:

Post a Comment