.

.
Saturday, December 28, 2013

9:45 AM
Limerudi tena!!!!
Mwani Nyangassa na Esther Bhoke Wakiwa wamepozi katika picha, baada ya uchovu wa mizunguko yao, makamanda hao wako katika harakati ya kuliuza gazeti hilo ambalo limefunguliwa kutoka kifungoni.
Poz kwa Poz, Wafanyakazi wa New habari (2006) Ltd, "#TEAM Mauzo"wakiwa wamepozi katika picha ya pamoja baada ya kuzunguka jiji la Dar es salaam kufanyA mauzo ya copy ya gazeti la MTANZANIA.

0 comments:

Post a Comment