.

.
Wednesday, April 10, 2013

4:15 AM
Kaimu Kamanda wa polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ibrahim Kilongo akionyesha bastola aina ya Browning yenye namba 016080 iliyokuwa inatumiwa na wahalifu waliokamatwa na jeshi hilo mkoani hapa. Mbali na silaha hiyo pia watuhumiwa hao walikamatwa na risasi 41 zinazoweza kutumika katika bastola hiyo
JeshilaPolisiMkoanihapalimefanikiwakuwakamatawatuwatatuwakiwanabastolaainaya Browning yenyenamba 016080 ambayoilikuwainatumikakutendauhalifukatikamatukiombalimbalijijinihapa.
Mbalinasilahahiyo, piawatuhumiwahaowalikamatwanarisasi 41 zinazotumikakatikasilahayaainahiyo.
 Akithibitishatukiohilo,Akithibitisha KaimuKamandawaPolisimkoanihapaKamishnaMsaidiziwaPolisi (ACP) IbrahimKilongoalisemakwamba,“Katiyarisasihizo, 13 zilikuwandaniya magazine yabastolahiyona 28 zilipatikanamarabaadayakufanyaupekuzikatikanyumbayawageniwaliofikiailiyopomaeneoyaSombetinijijinihapa”.
Kilongoalifafanuakwambatukiohilolilitokeatarehe 05/04/2013 eneo la Shamsikatika bar iitwayoTarakeaambapomarabaadayajeshi la polisikupatataarifakuhusiananakuwepokwawahalifuhaowaliwafuatilianakufanikiwakuwakamatanakuwakutanasilahahiyoikiwanarisasi 13 namarabaadayakuwahojivizuriwalielezanyumbawaliofikia.
AkiwatajawatuhumiwahaoKaimuKamandaalisemanipamojanaHashimuAbdallah (59) mkaziwaKihondaMorogoro, Omari Hussein Ludanga (40) MkaziwaMorogoronaGidionNgosi (56) MkaziwaGairoMorogoro.
KamishnahuyoMsaidiziwaPolisialisemakwamba, uchunguziwajeshi la polisimkoanihapaulibainikwambawatuhumiwahaokwakushirikiananamtuhumiwamwingineambayealikamatwakatikaeneojinginejijinihapaaitwaye Raphael Robert Saning’owalihusikakatikamatukiomawiliyauhalifuyaliyotokeajijinihapatarehe 13/04/2013 na 16/04/2013.
“Tukio la kwanza la tarehe 13/04/2013 mudawasaa 1:30 jionikatikaeneo la Kijengewatuhumiwahaowalimjeruhikwakumpigarisasikwenyepaja lake la mguuwakushotomwanamkeaitwaye Vicky Maglan (50) nakishakumnyan’ganyafedhataslimuTsh 700,000/= (Lakisaba) pamojanasimuyakeyamkononi, tukioambalolilitokeawakatimwanamkehuyoanatokeadukanikwakekuelekeanyumbaninatumemkamatamtuhumiwawanne Raphael Robert  akiwanasimuhiyoyamkononi”. AlisemaKaimuKamandaKilongo.
Kaimuhuyoaliongezakwakusemakwambatukio la pililililofanywanawahalifuhaolilitokeatarehe 16/03/2013 maeneoya Notre Dame Njirojijinihapa, ambapowalimjeruhikwakumpigarisasi Sister Mary Shobana (79) katikamguuwakushotonabega lake la kushotonakishakumnyang’anyafedhataslimuTsh 30, 000,000 (30 Milioni)ambazoalitokakuzichukuabenkiya Exim tawi la Shoprite lililopojijinihapa.
Watuhumiwahaowanaendeleakuhojiwanajeshihilonawatafikishwamahakamanimarabaadayaupeleleziwaawalikukamilika.

0 comments:

Post a Comment