.

.
Friday, December 21, 2012

2:53 AM
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema leo ameshinda rufaa ya kesi yake. Mahakama imejiridhisha kuwa madai ya udhalilishaji hayakuathiri uchaguzi wala mlalamikaji (CCM). Tangu sasa Lema ni mbunge halali wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema. CCM wameamriwa kulipa gharama za kesi hii tangu ilipofunguliwa mpaka ilipoishia!

0 comments:

Post a Comment