.

.
Thursday, October 18, 2012

9:53 AM
 Kamishna wa Polisi Mussa Ali Mussa akifafanua jambo katika Mkutano na Waandishi wa Habari akielezea juu ya Fujo na Ghasia zilizotokea katika Mkoa wa Mjini Magharibi na kupelekea kifo cha Askari Mmoja,Mkutano huo umefanyika hapo katika Makao Makuu ya Polisi Ziwani Mjini Zanzibar
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakiwa katika Mkutano wa Jeshi la Polisi kuelezea juu ya Fujo na Ghasia zilizotokea katika Mkoa wa Mjini Magharibi na kupelekea kifo cha Askari Mmoja,Mkutano huo umefanyika hapo katika Makao Makuu ya Polisi Ziwani Mjini Zanzibar.

Salma Said, Zanzibar

ASKARI Mmoja wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), CPL Said Abdulrahman amepigwa mapanga na watu wanaosaidikiwa kuwa ni wafuasi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) jana usiku katika eneo la Bububu kufuatia vurugu zilizoanza juzi hapa nchini.

0 comments:

Post a Comment