.

.
Saturday, November 24, 2012

11:39 AM
Wachezaji wa Uganda, The Cranes wakimpongeza Geoffrey Kizito wa mbele kulia, baada ya kuwafungia bao pekee la ushindi dhidi ya Kenya, Harambee Stars katika mchezo wa Kundi A, Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge Uwanja wa Mandela, Namboole usiku wa leo. 

Kizito akikimbia kushangilia

Kizito akishangilia na Brian Umony nyuma yake aliyempanda mgongoni

Humphrey Miano wa Kenya kushoto akigombea mpira na Kizito. Kulia ni David Ochieng wa Kenya pia

David Owino wa Kenya akimdhibiti Hamisi Kiiza wa Uganda mbele yake

Owino na Kiiza
Owino na Kiiza

Gwaride la sherehe za ufunguzi wa mashindano (picha zote na Zubery)

0 comments:

Post a Comment