.

.
Tuesday, November 20, 2012

10:31 PM




Rating
Askari watatu wakiwa kizimbani katika Mahakama Kuu ya Dar es Salaam jana ambapo mahakama hiyo imewahukumu kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana  na hatia ya kumuua Swetu Fundikira, mtoto wa mdogo wa mwanasiasa maarufu nchini Chifu Abdallah Fundikira. Kuanzia kulia ni Sajent  Roda Roberth, Koplo Ally Ng’umbe na Koplo Mohamed Ally. Picha na Venance Nestory    

0 comments:

Post a Comment