Salma Said, Zanzibar
ASKARI Mmoja wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), CPL Said Abdulrahman amepigwa mapanga na watu wanaosaidikiwa kuwa ni wafuasi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) jana usiku katika eneo la Bububu kufuatia vurugu zilizoanza juzi hapa nchini.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.